heslb mbona kimyaaaa...!

Yasoda Rajab

Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
24
Reaction score
5
Jamani baadhi ya vyuo wameshafungua na vingine vinaendelea kufunguliwa wanafunzi wengi wanashindwa kuenda chuoni kufanya registration kwasabu wanahofu kukosa mkopo ambao utawawezesha kuendelea na elimu ya juu sasa sijajua sababu ya kuchelewa hivyo japo kuna vigogo wali post kwamba kabla ya tarehe 20 mwez huu watakuwa wameachia mzigo.
 
pole sana kwa kusubiri helbs ni kisho jumamosi ni uhakika usihofu bwana mdogo........
 

kuwa na subira kijana wangu,next week ki2 kitakuwa hewan tu.
 
Jamani hivi lini bodi ya mkipo itatoa jina maana baadhi ya vyuo vinakalibia kufungulia
sasa itakuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…