Mambo ya Magufuri haya,yeye alisoma kwa mkopo na hakuulipa,lakin anataka wenzie walipe!
Ni sahihi lakini yeye ndiye aliyekuja kupandisha asilimia za makato kutoka 8% mpaka15%,huu ni mzigo mkubwa kwa mfanyakaziMikopo inadaiwa kabla hata ya magu kushika kiti.
Ni sahihi lakini yeye ndiye aliyekuja kupandisha asilimia za makato kutoka 8% mpaka15%,huu ni mzigo mkubwa kwa mfanyakazi
Au wanatukimbia? Umetoka Mkoani hapo unakumbuka wakati upo UD walikua Mwenge unafika unaambiwa wapo Kigamboni..Wale ndo zao kuhamahama, kuna kipindi nyuma huko tuko primary walikuwa msasani ccbrt
Madeni yao ni utopoloUsichojua kuhusu hao loan board wao wanaile 6% rentation fee kila mwaka inaongeza kutoka kwenye Deni liliobaki kwa kila mwaka.
hivyo Kama ulimaliza Deni kuanzia siku uliyomaliza Deni ulitakiwa kuwafata hao loan board wakupe statement kuonyesha Hali ya mkopo wako kwakua lazima bado utakua tu na Deni kwani hiyo rentation fee itakuepo tu.
Kwani ilipoanza kuonekana kwenye salary slip yako lilikua Deni lililokuwako wakati ule unaanza- kulipa maana yake rentation fee iliendeleza kujizalisha kila mwaka.
Anyway tukiwaambia hili Deni halilipiki muwe munaelewa
Ukifika pale wanafanya kazi ya kushindana kuja na magari.Ni bora uwe unakwenda ofisini kwao kuwaona ili kupata statement zaidi.anyway kama sijakosea niliona tazara pale ndo walipo kwa Sasa sijui ndo wamehamia pale...
Duuh!Ukifika pale wanafanya kazi ya kushindana kuja na magari.
Kuna vitoto pale ni jeuri utafikiria hizo hela nizababa zao. PS wa mkurugenzi msaidizi majamaa kasumbufu sijui wamemuokota wapi yule maana ..... na Dada wa mapokezi hawana maana. Nimajipu na yameiva
Wacha tu niendelee kuichukia ccm na viongozi wake! Hawa mchwa ndiyo chanzo cha maumivu yote haya kwa Watanzania wa kipato cha chini. Ukiyakuta yalivyo futuka matumbo, utadhani yana mimba ya mwaka mmoja!Mkopo huo ni pasua kichwa ndiomaana wao watoto wao wanawasomesha kwa cash hawatakagi longolongo maana wanajua huu ni mtego wamewawekea wanyonge kama wanyonge . Mitano tena kwao
Wale ndo zao kuhamahama, kuna kipindi nyuma huko tuko primary walikuwa msasani ccbrt
Huyu aliye ondoka juzi Kati ameharibu Sana, Mana alikuwa hatoi ajira,Hao bodi mwisho wa siku watapata hasara sana, idadi ya wahitimu kila mwaka wengi wanaishia kukosa ajira na hayo madeni after two years yanaongezeka riba, sioni kama serikali itapata kitu hapo, hii mikopo ya wanafunzi ni sawa na serikali imecheza kamari, wanaoweza kumudu kulipia yote ni wachache sana, na inaonekana huko bodi ya mikopo hawana record za haya mambo yao vurugu tupu.
Ndugai na bunge lake lakini Mungu yu hai,anamuangalia kwa jicho la ghadhabu na atamnyang'anya tongeHizi taabu zote kazileta mwenda zake.
Ukifika pale unajibiwa mavi,mtu kaegemea kwenye kiti kama yupo chumbani kwake,hela imeenda na unajibiwa upupu.Ni bora uwe unakwenda ofisini kwao kuwaona ili kupata statement zaidi.anyway kama sijakosea niliona tazara pale ndo walipo kwa Sasa sijui ndo wamehamia pale...