dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
🤣 🤣 🤣Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
😂😂😂Mambo ya Magufuri haya,yeye alisoma kwa mkopo na hakuulipa,lakin anataka wenzie walipe!
Wewe matakoo makubwaa una uhakika?Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
Unanipangia?Unamshukuru Mungu au unamshukuru mshkaji?
😂😂😂😂Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
Wewe mbona unaongelea kila nafsi as if unanijua?Hapa watajidai yaliyopita yamepita sirudii matapishi Ila deep inside their four chambers heart hawawezi kumnyima mtu aliyewagharamia for Three/four consecutive solid years kuanzia ada, mavazi chakula hadi pedi.
Damn marriage, ndoa zina changamoto sana. Nitaleta hapa true story
Bro yupi tena mkuu[emoji849][emoji849]Your welcome.
Kwa niaba ya bro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boom milioni 8 na point
Ada million 6
Bado vikorokocho vingine
Kibaya zaidi sina ajira, hawa helsb nikikaa vibaya watakuja nitoa figo
Joanah wewe ni ke ndio maana umecheka unajua uhalisia😂😂😂😂
Basi wewe utakuwa ni mmoja kati ya w/ke 1000Wewe mbona unaongelea kila nafsi as if unanijua?
Ni lazima nitembee nae huyo ex
Wewe kama yamekukuta ni wewe na ufalaa wako umesikia?
Huyu mbona kakuta ndogo.Mimi nimemaliza chuo 2014 mwaka 2015 nikaajiriwa,2016 wakaanza kunikata Deni lao ambalo nilikuta milion 13 na usheeKuna rafiki yangu alimaliza chuo mwaka 2015 akaa mtaani mpaka mwaka 2021 mwezi wa Kwanza ndipo alipata kazi ...baada ya miezi mitatu HESLB Wakaanza kumkata ...ikabidi atengeneze salary slip akakuta Deni lake ni 14,700,000
Hilo mbona la kawaida sana. Wengine hatujakaa hata mwaka mmoja kitaa ila tulijikuta Mil.12 kutoka Mil.10 zilizokuwa zimeandikwa kwenye invoice wakati wa kumaliza.Kuna rafiki yangu alimaliza chuo mwaka 2015 akaa mtaani mpaka mwaka 2021 mwezi wa Kwanza ndipo alipata kazi ...baada ya miezi mitatu HESLB Wakaanza kumkata ...ikabidi atengeneze salary slip akakuta Deni lake ni 14,700,000
Nimechekeshwa na ujinga wako....i mean akili yako mbovu inaboa hadi inachekeshaJoanah wewe ni ke ndio maana umecheka unajua uhalisia
Yale ni majengo ya wizara ya kilimo kabla ya kuhamia Dodoma ndo ilikuwa ilikuwa wizara ya kilimo pale na sasa ndo ipo HESLBLile jengo siyo jipya. Lilikuwepo.