Gray Ze Don
Member
- Aug 18, 2013
- 36
- 3
eti jaman nisaidieni.bodi ikikupa 0% je bumu la meal allowance unapata?au zte unakosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya sufuri asilimia? Jiongezee kama msomii hata mwanafunzi wa chekechea anajua
Nini maana ya sufuri asilimia? Jiongezee kama msomii hata mwanafunzi wa chekechea anajua
We umevurugwa kweli...!!!!!!!!!!!!Nini maana ya sufuri asilimia? Jiongezee kama msomii hata mwanafunzi wa chekechea anajua
eti jaman nisaidieni.bodi ikikupa 0% je bumu la meal allowance unapata?au zte unakosa?
Wakati mwingine ni akili kukaa kimya kwa yale usiyoyajua. anayepata mkopo 100% au 50% au 0% wote wanapata meal allowance kiwango sawa cha tshs 7500 kwaa siku. tofauti ya hizo asilimia huwa ni kwenye tuition fee na field tu. ikiwa utawekewa mkopo negative hiyo humaanisha ndio huwezi kupata hata hiyo ya chakula.
Xank all of u participate in this topic
Xank all of u participate in this topic
Kama hujui haya mambo unaacha wanaoyajua wayaseme, inawezekana wewe ni kijana wa Primary halafu unajifanya mbelembele kujibu maswali wanayopaswa kujibu wanaoelewa... Bora kukaa kimya tusijue urefu wa akili yako!!Nini maana ya sufuri asilimia? Jiongezee kama msomii hata mwanafunzi wa chekechea anajua
Kama hujui haya mambo unaacha wanaoyajua wayaseme, inawezekana wewe ni kijana wa Primary halafu unajifanya mbelembele kujibu maswali wanayopaswa kujibu wanaoelewa... Bora kukaa kimya tusijue urefu wa akili yako!!
KWA TAARIFA YAKO, UKIONA TU JINA LAKO BILA KUJALI % ULIZOPATA..... MEALS, ACCOMODATION UNAVYO!!! WASIOPTA VITU HIVI NI WALE AMBAO MAJINA YAO HATA KUONEKANA HAYAKUPATA NAFASI KWENYE LIST <<DISQUALIFIED>>!!!
usiwaze mzaz 7500 lazma uipate
Ni 10000 kaka limepanda
Itakuwa ya serikali ya mugabe
Kama hutaki sikulazimishi.....imeandikwa pale miezi 6 milioni moja na laki nane jumlisha laki mbili ya photocopy inakuwa milioni 2 taslimu......TEKU wanalijua hilo