Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jkt wanachagua special schools ambazo wana uhakika students from those schools watafaulu.
Mfano ni st.Merigoreth,Kifungilo,Mzumbe,ilboru,kibaha,msalato etc...shule ya kata hamna JKT
[shule zote zimechaguliwa so hamna cha special wala nn]
Wadau,,!
Naomba kuuliza,,hivi kwa sasa kupata mkopo wa heslb kwa form six leaver,,kwenda jkt ni kigezo,? Au havihusiani?
Wale wote wanaoenda JKT ndo wengi wao watakuja kuwa viongozi na wafanyakazi waandamizi katika sekta nyeti hapo baadaye. Kwa ivivu jiandae kuhangaika kimaisha kama utategemea ajira ya serikali.