Naendelea kupata ukakasi kutoka vyombo hivi viwili. Mwenye mamlaka ya kukata fedha za mtumishi ni mwajiri kwa mkataba maalumu pale inapohitajika.
Nirudi kwenye mada, bodi na utumishi wamewabambikia watumishi madeni ya HESLB. Ukiuliza bodi wanadai hawahusiki na risiti za mishahara, utumishi wanasema kuanzia mwezi wa kwanza 2022, bodi wanakata makato yao moja kwa moja hazina. Sasa swali ni je, madeni yaliyoongezewa mf mtu anadaiwa 530000, na deni kuwa 8753000.
Nani anawajibika? Je uhalali wa taasisi ya kifedha kuingilia mshahara wa mtumishi moja kwa moja bila mwajiri kujua umepitishwaje? Kwa mnaofahamu matatizo haya.yameanza baada ya kuyumba kwa mfumo, je kulikua na shida yakimfumo ama watu walichezea.mfumo.
Nirudi kwenye mada, bodi na utumishi wamewabambikia watumishi madeni ya HESLB. Ukiuliza bodi wanadai hawahusiki na risiti za mishahara, utumishi wanasema kuanzia mwezi wa kwanza 2022, bodi wanakata makato yao moja kwa moja hazina. Sasa swali ni je, madeni yaliyoongezewa mf mtu anadaiwa 530000, na deni kuwa 8753000.
Nani anawajibika? Je uhalali wa taasisi ya kifedha kuingilia mshahara wa mtumishi moja kwa moja bila mwajiri kujua umepitishwaje? Kwa mnaofahamu matatizo haya.yameanza baada ya kuyumba kwa mfumo, je kulikua na shida yakimfumo ama watu walichezea.mfumo.