Heslb ni Tatizo.

Heslb ni Tatizo.

Muntu Ya Pori

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
222
Reaction score
64
habari zenu wanajamvi. Jamani heslb ni tatizo kubwa kwangu. Wameniandikia sifai kupewa mkopo kwa sababu nimemaliza form six zamani 2009. Sasa hiyo fedha ya kujisomesha sina,inamaana habari ya chuo hapo ni basi tena nijaribu vitu vingine! nikiahirisha nikaomba mwakani nazani miaka itazidi kuwa mingi! wadau nifanye nini ili niippate elimu ya chuo kikuu? nimechaguliwa BSME- CoET
 
habari zenu wanajamvi. Jamani heslb ni tatizo kubwa kwangu. Wameniandikia sifai kupewa mkopo kwa sababu nimemaliza form six zamani 2009. Sasa hiyo fedha ya kujisomesha sina,inamaana habari ya chuo hapo ni basi tena nijaribu vitu vingine! Nikiahirisha nikaomba mwakani nazani miaka itazidi kuwa mingi! Wadau nifanye nini ili niippate elimu ya chuo kikuu? Nimechaguliwa bsme- coet

kakope benk, au tafuta kazi ufanye usome open univ.
 
ni kuludi kwa wananchi hasa vijijini,,kueleza ukweli kwamba cha cha ccm kimeshindwa kuakisha watu wote wanapata elimu,,kwahiyo wakitupilie mbali uchaguzi ujao.
 
pole sana ila ckunamashirika yanasomesha wanafunz kwa kuwalipia ada 100% kama pale alfaruk tabat ebukajaribu pale kwanza
 
Back
Top Bottom