umemsoma ehh, jamaa kaja kwa mbwembwe akaanza kukejeli bila kuangalia mada inasema vp...inasikitisha sana. 🙁ni km anakejeli waliokosa!, km ipo ipo tu, hainaga haja ya ''kutembea kifua mbele km umepigwa ngumi ya mgongo" nukuu toka Fid Q.
<br /><br /><br />
<br /><br />
duu! EEF-HKL, hongera.
<br /><br /><br />
<br /><br />
duh,na kuna CCC ya PCB imenyimwa mkopo.
duhh! Inauma sana. 🙁<br /><br />
<br /><br />
duh,na kuna CCC ya PCB imenyimwa mkopo.
<br />Ndiyo tumepewa we ulitaka 2sipewe mimi nina EEF_HKL Mkopo 3,452,000 chuo eckanford tanga!! Mjanja kupata we endelea kuuza mahindi ya baba na mama au bibi na babu ili ujisomeshe sisi twaendelea kula bata!
nani kakwambia wewe! Tofautisha fact na political fact!! Haikuwa haki yangu ilikuwa ya nani? Nyie endeleen kupiga kelele za mauvu tu!uc2kane mamba hujavuka mto, c umeckia wana reviw upya? ucshangae ukitemwa maana haikuwa hak yako.
wakati sisi tulivyokuwa tunakesha tukiomba tupate mkopo wa mana wao walikuwa wanashnda wamelala tu! Yame wakuta wanalia!<br /><br />
<br /><br />
duh,na kuna CCC ya PCB imenyimwa mkopo.
^wewe inaonekana ulikesha sana kuomba upate mkopo zaidi ya kukesha kwa kusoma.wakati sisi tulivyokuwa tunakesha tukiomba tupate mkopo wa mana wao walikuwa wanashnda wamelala tu! Yame wakuta wanalia!
bora ^E.E.F ya HGK ningesema geog ni ngumu.. Ni E.E.F ya 'HKL'kama kweli umepata EEF YA HGK.usipo kazana mwaka wa 2 itakuwa ndoto kwako.naukafaidi hiyo m 3 kwa mwaka 1.pole sana kaka