Achana na
Pompoo uwezo wake wa kufikiri ni mdogo kama
ram ya calculator. Lakini je enzi uko 824kj kiumeni ulikua unafuta vumbi
kabla ya kukaa..!
Nasikia wameshatoa tayar majbu ya transfer
Nasikia wameshatoa tayar majbu ya transfer
TCU wanatoa majina ya transfer na batch za loanboard zinatoka before sept 23.hizi ni habari za kweli wadogo zangu wa first year.
source;INAAMINIKA
habari zenu wadau.mwenye majina ya trabsfer naomba ayaweke kwani wengi we2 hatuna access ya computer.natanguliza shukran zangu
mara ya kwanza ulisema tarehe 20....asa hivi ume edit umeweka tarehe 23...ikifika tarehe 22 utaedit tena utandika tarehe 27 nakuendeleaTCU wanatoa majina ya transfer na batch za loanboard zinatoka before sept 23.hizi ni habari za kweli wadogo zangu wa first year.
source;INAAMINIKA
ikitokea nimiedit tena ujue ni mara ya mwisho then yanatoka but nadhan editing hazitavuka zaidi ya 3 coz mpaka sasa nimeedit mara moja tu
ikitokea nimiedit tena ujue ni mara ya mwisho then yanatoka but nadhan editing hazitavuka zaidi ya 3 coz mpaka sasa nimeedit mara moja tu