Msiwe na Wasiwasi Vijana, Vijana elfu 40 wame apply vyuo vikuu kwa njia ya Central Admission Systm na Bod ya Mikopo itatoa Mikopo kwa waombaj Elfu 35 kwa hiyo kama ni Probability ni 0.8,Wazaz wenu hawakukosea 2010. Your Right is Our Responsibility! Kidumu chama cha Mapinduzi ,Udumu utawala thabiti na UTENDAJI uliotukuka wa Jakaya Kikwete!