Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Naam ndugu zangu mliokua mnasubiri majibu ya rufaa HESLB teyari wameshayatoa pitieni sipa akaunti zenu mjionee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya huyu bado inasoma hivi hadi leo.Naam ndugu zangu mliokua mnasubiri majibu ya rufaa HESLB teyari wameshayatoa pitieni sipa akaunti zenu mjionee
Asikilizie leo stutus itabadilika tu me wakwangu teyar amepataYa huyu bado inasoma hivi hadi leo.
Ndiyo kachinjwa si ndio?
Pia aliweka document gan katika rufaa yake mana wangu me mbaka tunatoboa rufaa zimewekwa document za hatari kiongoziYa huyu bado inasoma hivi hadi leo.
Ndiyo kachinjwa si ndio?
Tuliweka ya sponsorship tu mkuuPia aliweka document gan katika rufaa yake mana wangu me mbaka tunatoboa rufaa zimewekwa document za hatari kiongozi
DuH aisee mimi nliweka barua nying nying tofautiTuliweka ya sponsorship tu mkuu
Mh nadhan awabadili kitu kwakoMm ni continuous allocation yangu ipo vile vile na niliappeal vp ndo nimekos au
My nimefatilia hili nadhan kina changamoto sana kwa continuois bodi wanawasahau sana yaani ata uweke vyet vya vifo kwa wazazi wote usishangae ukakosa kunashidah hapaHivi kuna continuous kapata?
Dah[emoji26]My nimefatilia hili nadhan kina changamoto sana kwa continuois bodi wanawasahau sana yaani ata uweke vyet vya vifo kwa wazazi wote usishangae ukakosa kunashidah hapa
[emoji26]Aise mpaka sasa naona ni bila bila kwa continuous kama kuna wengine walishawekewa basi ndo imetoka hiyo
Watu wa bodi wenyewe ukiwauliza wanasema hili suala la rufaa na continues hakuna aliyepata mpaka sasa coz hata kikao cha kuidhinisha bado hakijafanyika.ila humu jf kuna mdau kasema yeye kapata rufaa yake.Aise mpaka sasa naona ni bila bila kwa continuous kama kuna wengine walishawekewa basi ndo imetoka hiyo
Sas mpk ln jmnWatu wa bodi wenyewe ukiwauliza wanasema hili suala la rufaa na continues hakuna aliyepata mpaka sasa coz hata kikao cha kuidhinisha bado hakijafanyika.ila humu jf kuna mdau kasema yeye kapata rufaa yake.
Ngoma tayari huko bossSas mpk ln jmn
Uwe unasoma vilivyoandikwa juu.Wakuuu leo tarehe nne kuna aliepata mkopo
Mm continuous niliappeal lkn hola[emoji26]Wakuuu leo tarehe nne kuna aliepata mkopo