HESLB wametoa majibu ya rufaa

HESLB wametoa majibu ya rufaa

Naam ndugu zangu mliokua mnasubiri majibu ya rufaa HESLB teyari wameshayatoa pitieni sipa akaunti zenu mjionee
Ya huyu bado inasoma hivi hadi leo.
Ndiyo kachinjwa si ndio?
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-045842_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20221130-045842_Opera Mini.jpg
    44.9 KB · Views: 32
Mm ni continuous allocation yangu ipo vile vile na niliappeal vp ndo nimekos au
 
Aise mpaka sasa naona ni bila bila kwa continuous kama kuna wengine walishawekewa basi ndo imetoka hiyo
 
Aise mpaka sasa naona ni bila bila kwa continuous kama kuna wengine walishawekewa basi ndo imetoka hiyo
Watu wa bodi wenyewe ukiwauliza wanasema hili suala la rufaa na continues hakuna aliyepata mpaka sasa coz hata kikao cha kuidhinisha bado hakijafanyika.ila humu jf kuna mdau kasema yeye kapata rufaa yake.
 
Watu wa bodi wenyewe ukiwauliza wanasema hili suala la rufaa na continues hakuna aliyepata mpaka sasa coz hata kikao cha kuidhinisha bado hakijafanyika.ila humu jf kuna mdau kasema yeye kapata rufaa yake.
Sas mpk ln jmn
 
Back
Top Bottom