Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ulisajiliwa NIDA bila birth certificate???Mimi birth certicate yangu ni ya zaidi ya miaka 30 iliyopita, enzi hizo haijuiikani hata fingerprint ni kitu gani.., wala NIDA hakuna, na NIDA hawakuomba birth cerificate wakati wa usajili..
Unakua unaishije ? Au chuo ulienda kusomea ujinga?Hapa nikupitia Bank accounts
π π π π πMkuu hii ya account ya ndg niliwahi banwa nilimtumia jina la mdogo nikawa natumia kama kawaida kwenye ATM siku Moja nilkuwa natoa kiasi kikubwa si nikaenda dirishani. Muhudumu kuniangalia akasema subiri kidogo mara police huyu hapa nikapelekwa kwenye chumba fln
Nilitoka maelezo lkn wapi wanasema salama Yako ni huyo mdogo wako aje athibitishe haya na hapo yupo chuo Dar Nami nipo kahama.
Haloo usome mkuu
Sawa nshakupataaNdio, sikupeleka birth certificate wakati wa kusajili NIDA, labda huo utaratibu umeanza siku hizi. Kilichohitajika ni jina la mjumbe tu.., na barua ya utambulisho ya serikali ya mtaa, Majina matatu, taarifa zangu na za Wazazi, na kuchukuliwa fingerprint, na kupigwa picha., na zoezi lilifanyikia ofisi ya serikali ya mtaa enzi hizo..
Na hata kufungua akaunti, sijawahi kupeleka cheti cha kuzaliwa, kikubwa barua ya utambulisho ya serikali ya mtaa pamoja na NIDA
Hata kusajili laini, ni NIDA tu na fingerprint inatakiwa..
ndo walipofel sasaWaljua mtajiongeza kupata pesa......kisha wataipata pesa yao tu
Wengine kufungua Account tulitumia barua kutoka chuo, maana Bank zilitufuata zenyewe chuo sijui itakuaje sasaNdio, sikupeleka birth certificate wakati wa kusajili NIDA, labda huo utaratibu umeanza siku hizi. Kilichohitajika ni jina la mjumbe tu.., na barua ya utambulisho ya serikali ya mtaa, Majina matatu, taarifa zangu na za Wazazi, na kuchukuliwa fingerprint, na kupigwa picha., na zoezi lilifanyikia ofisi ya serikali ya mtaa enzi hizo..
Na hata kufungua akaunti, sijawahi kupeleka cheti cha kuzaliwa, kikubwa barua ya utambulisho ya serikali ya mtaa pamoja na NIDA
Hata kusajili laini, ni NIDA tu na fingerprint inatakiwa..
Wamemsahau mdau mhimu, TRA huyu ndo anaona nani analipiwa mshahara kutoka wapi/ Au biashara yake iko wapi maana anakuja kufanya makadilio.Pia NSSF anaona nani analetewa mafao kutoka wapiBodi ya mikopo(HESLB) imeunganisha mifumo ya kimkakati Kwa ajili ya kuwafikia wanufaika wenye kipato lakini hawajaanza kurudisha mikopo hiyo.
Heslb imeingia makubaliano ya ushirikiano na wakala wa usajili, ufilisi na udhamini(RITA), NIDA na taasisi za kibenki lenye lengo la kuwatambua wanufaika wa mikopo hiyo, wenye kipato na ambao awajarejesha mikopo hiyo ilhali Wana kipato.
---
Akizungumza katika hafla ya kubadilishana hati za ushirikiano kati ya HESLB na wadau hao jijini Dar es Salaam siku ya Jumatano, Septemba 11, 2024, Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk Bill Kiwia amesema hadi sasa mikoΡΠΎ inayopaswa kurejeshwa ni Sh600 bilioni.
Mikopo ambayo imeshaiva ni Sh2.1 trilioni na hadi sasa zimerejeshwa Sh1.5 trilioni, kuna kama Sh600 bilioni bado hazijarejeshwa, hivyo kama ilivyo katika kampeni za urejeshwaji mikopo, tumeamua kuunganisha mifumo ili kuwafikia wanufaika wenye kipato waanze urejeshaji," amesema Kiwia.
Vilevile, Kiwia amesema muungano na taasisi hizo unaboresha huduma na urahisi huku Bodi ikitekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ifikapo Desemba, 2024 mifumo yote ndani ya Serikali iwe inasomana.
"Kama ilivyo majukumu yetu ya kukopesha na kukusanya mikopo, hivyo hatua hii itaongeza tija kuwafuatilia na kuwafikia wanufaika wote nchi nzima," amesema.
Akitaja majukumu ya taasisi hizo walizoungana nazo akianza na Credit Info ambayo inajukumu la kutunza taarifa za wanufaika wa mikopo kwenye taasisi za kifedha hapa Tanzania. Amesema, hivyo wameshirikiana nayo ili iweze kukusanya na kutunza taarifa za wadaiwa na wanufaika wa mikopo ya HESLB ambapo itasaidia bodi kuwafikia wanufaika hao.
"Kwa upande wa Rita, watahakikisha uhalali wa vyeti vya kuzaliwa na vifo na uombaji wa mikopo, hivyo itaongeza tija katika kazi zetu"
Kwa, Nida amesema watarahisisha kupata taarifa za makazi na mawasiliano ya wanufaika ambao hawajaanza kulipa madeni, hasa wale wenye kipato na wapo kwenye sekta binafsi, ushirikiano na wadau hao umelenga kukuza uchumi kwa kubadilishana taarifa pamoja na kuwafatilia na kuwafikia wanufaika wote.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Nida, Deusdedit Buberwa amesema: "Nida jukumu lake ni kushirikiana na HESLB ili kuirahisishia kuwafikia wateja wake na kuwafikia wanufaika ambao hawajaanza kurejesha mikopo ili waanze kulipa.
"Pia, nitoe wito kwa Watanzania wote ambao waliwahi kukopeshwa na Serikali, wawe wazalendo wajitokeze wenyewe waanze kurejesha," amesema Buberwa.
Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa Credit Info Tanzania, Edwin Urasa amesema wako tayari kushirikiana na HESLB katika kufanikisha mchakato mzima wa ukopaji na urejeshwaji mikopo hiyo unafanikiwa.
"Katika kuhakikisha wenzetu wa HESLB wanatoa mikopo kwa wakati basi Rita tumetengeneza mfumo wa kieletroniki ambao unaunganisha kati yetu na bodi kurahisisha wanafunzi kufanya mchakato wa mikopo kwa ujumla,"
Tutatumia account za ndugu zetu kufanyia biashara, ile hela inauma, nikubwa na ubaya hivyo vyeti vya degree sijawahi kuvitumia, sijaajiriwa private wala Serikalini nafanya biashara nawalipa kodi wanataka nini tena awa heslb? Au wachukue tu hiyo degree ππ
Walichonacho kama ID ni namba ya mtihani ya form 4 ya miaka hiyo, ambayo nayo haipo connected na NIDAWengine kufungua Account tulitumia barua kutoka chuo, maana Bank zilitufuata zenyewe chuo sijui itakuaje sasa
Mbona wao enzi za Nyerere walisomeshwa bure, iweje sisi tulipishwe?Tulipe tu kama una kazi tayari ila kwa wale wasio na kazi itakuwa ngumu kulipa maana hawana kipato.
ππππWalichonacho kama ID ni namba ya mtihani ya form 4 ya miaka hiyo, ambayo nayo haipo connected na NIDA