HESLB yaja na mpango mpya kwa wasiyorejesha mikopo, waungana na RITA, NIDA na Taasisi za Kibenki kuwatambua kirahisi wadaiwa

Hao hawajielewi..sisi wengine enzi zetu tunaomba mikopo hakukua na mambo ya nida..watatupatia wapi?
 
Mbona control no. Wametoa afisa?
 
Mbona control no. Wametoa afisa?
wametoa wapi mkuu? naomba unipe mwongozo maana mimi leo ndo nmefungua akaunti ila sioni chochote cha maana kwenye akaunti. nilikuwa sina mpango wa kuwalipa ila naona niwalipe tusije sumbuan mbele huko.
 
wametoa wapi mkuu? naomba unipe mwongozo maana mimi leo ndo nmefungua akaunti ila sioni chochote cha maana kwenye akaunti. nilikuwa sina mpango wa kuwalipa ila naona niwalipe tusije sumbuan mbele huko.
Me kwenye account yangu naona wameniwekea control no,ingawa sina mpango wa kuwalipa hilo deni .
 
Hawataweza lolote
 
Labda wanataka wajaze magereza yote nchini ,vijana wenyewe wamejichokea wapo tu huku wanasubiri ununue bia ,ukitoka kwenda chooni apige hata pafu mbili ,Sasa wa hivyo wataweza kulipa hata laki si kujaza wafungwa magerezani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…