😂😂😂😂😂😂😂 kazi alioifanya si hio kujaza details zake akashinda iphoneUliweka kiasi gani? Au ulifanya kazi ipi hadi wakupe iPhone?
Vitu vingine haviitaji hata uwe umeshiba ili kujua unaenda kupigwa.
Kitu cha iphone 11, kajikuta anatamaniUtapigwa mkuu....acha tamaa!
🤣Uliweka kiasi gani? Au ulifanya kazi ipi hadi wakupe iPhone?
Vitu vingine haviitaji hata uwe umeshiba ili kujua unaenda kupigwa.
Sawa mkuu watumie shipping fee ili wakutumie iPhone yako, hata usijali utaenda kuipokea huko posta.Nilitumia huduma ya posta broh
Hizi comments huwa zinatengenezwa tu ndugu
Upo nao kambi moja hao matip ama vp!?Ni kweli mimi nimeshinda leo na aifoni yangu nimeletewa.