Hey guys, hivi hii ni kweli au utapeli?

Hey guys, hivi hii ni kweli au utapeli?

Alafu uwaga inasimamia kwenye iPhone 11 tu ukilizungusha

Amka mkuu hamna simu inatolewa kizembe ivo

#Staysafe
 
Mwambie hiyo Iphone 11 akampe Mama yake Mzazi Kijijini.
 
Benk card inahusika vipi na ushindi wako! Kikubwa ni location yako wakutumie iPhone. Toa namba afu upigwe mpunga ndo akiri itakaa vema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa nyingine uwa nawaza kwanini hawaishi, ila nimeundua nimegudua wanaohitaji kutapeliwa ni wengi
 
Back
Top Bottom