Kabeeeeeeeeesa
We dogo hamnazo kweli sasa kitungulu swaumu ni kitu ya kunitishia 😂Nusu albinoo ziki Waka, naeza nika kutwanga ka vitunguu swaumu
👉Nusu albinoo 🤒
Jumatano ya majivuVelentine ileee
Umefanya nimecheka kwa sauti mpk naonekana zimepungua ktk ubongo duh et kajamba nani🤣🤣🤣Kuna kajamba nani jana kamtongoza hubby wangu so akozani simjui yaani ndio napata kahauweni yeye na vidm vyake vya kipepo na hubby kaniambia hapa kuna mashangingi yanayo winda watu wawatu na wakwako hawapi huduma yakuridhisha
Kwa kasi zaidi mapopoyongo🤣🤣🤣🤣Baby wake ni nani kwanza tuanzie hapo,ukute ni bebi wetu sote
Khe😂😂😂😂Madam have some self respect Basi, mna andika mada za kijinga.
👉Mna nitag ujinga, Afu bado mna leta skendo za kijinga.
Mbona tunafanya matani kila siku.Wivu gani ??, Tuna u karibu mpaka nimjue???
👉Lini nikisha wahi hata kufikiria Hilo, zaidi ya jokes tu- am truly pissed.
Acha uchokozi we mdada haya . Why nasema hivyoo unanitag nikiwa sijaandika poa . Ila ipo siku utamjua na mzungumzia babe yupi ila humjui na sio mwandikaji wa mabango mlio mzoea yeye ni msomaji tu .Ila da maua nahisi Ana nchi ya peke ake we unamuonaje 🤣🤣🤣
Achana naye anavutaga bangiKhe😂😂😂😂
We nae matani kidogo ushaumuka.
Hadi wewe yupo wapi kwa sasa ili nikukosoe🤣🤣🤣Baby wake ni nani kwanza tuanzie hapo,ukute ni bebi wetu sote
Mbwehaa🤒😄We dogo hamnazo kweli sasa kitungulu swaumu ni kitu ya kunitishia 😂
😂😂😂😂Sie kwetu chaiAchana naye anavutaga bangi
Mdogo ako nusu albino Half american, ana tetea ujinga😄😄🤣🤣🤣🤣Umeamka na hasira?
Wee hatu tumii chochote mzeeNo fap haitakiwi ujichulie sheria mkononi ila ukipewa tunda kula
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sawa da maua nmeachaAcha uchokozi we mdada haya . Why nasema hivyoo unanitag nikiwa sijaandika poa . Ila ipo siku utamjua na mzungumzia babe yupi ila humjui na sio mwandikaji wa mabango mlio mzoea yeye ni msomaji tu .
Ila kiswahili ajui sijui aliiingiaje humu . Sasa jichanganye nikuweke kwenye kiti moto haya shauri yako .
Humu kuna mtu kanote kila mtu na njemba lake limewekwa camera na mita na gprs yaani anasomeka hata aende kuwanga . Mie nipo serious . Wamenikera sana .
Humu nilichambwagwa kisa mtu fulani saivi nami naanza kukusanya matukio kama nikweli nitamchamba hadi basi . Hadi na dira namvalisha
Muache mziwanda wetu aisee...Mdogo ako nusu albino Half american, ana tetea ujinga😄😄
Daah Maua unaandika kiswahili kigumu sana,yaani hapo nimeelewa tu bby wako yupo Germany mengine nimetoka kapaJoannah huyu mtu sio mtanzania yupogi ugermany ndio anaishi nakufanya kazi .sasa huyo babe wako ana uhasilia 2 ambazo ni wapi na wapi?? Je wako mnapokutana maana tuongee tu ukweli lazima ukwame