HEY TANZANIANS, WHAT'S GOING ON WITH ATLC

HEY TANZANIANS, WHAT'S GOING ON WITH ATLC

Nilisoma na nilifaulu zaidi yako wewe,na kama unabisha upload tokeo lako hapa!

National Pride ipo kwenye ndege za kununua?

Mbuzi wewe!

National Pride yetu ni kwenye wanyamapori wetu,utu wetu,lugha yetu,maliasili yetu,watu wetu,etc....

Sio mabati uliyonunua kutoka kwenye some random workshop in Canada called Bombadier!

Kirusi wewe!

Mchane uyo babaa....... mpasue
 
Hakuna serikali duniani ilishawahi fanya biashara ikapata faida!

None!

Hii ya Magufuli ndio eti inafanya biashara,what a joke!

Serikali siku zote haiwezagi kufanya biashara......

Screenshot_2019-04-16 List of largest companies by revenue - Wikipedia.png


Acha kukariri wewe, namba 2,3,4 ni state owned.
 
View attachment 1073832

Acha kukariri wewe, namba 2,3,4 ni state owned.

Acha upumbavu!

Ndio maana Tanzania Afrika Mashariki kielimu tupo mwisho kati ya mataifa yote 7.

Ni kwasababu ya wapumbavu kama wewe!

Haya makampuni yana FAIDA?

Claim yangu original ni kua "HAKUNA SERIKALI ILIYOFANYA BIASHARA IKAPATA FAIDA"

Hoja hapa ni FAIDA!

Sasa wewe umeenda ku-pull some garbages from Wikipedia huko unakuja kubwaga hapa kwa nyodo kumbe ni mavi gunia!

Serikali mbalimbali humiliki shares au outright ownerships kwenye makampuni na mashirika mbalimbali tena ndani na nje ya hizo nchi.....

Je,state owned companies tena za Afrika kuna hata moja yenye kujenga FAIDA in any sense?
 
Ulisoma sekondari? Civics ulipata ngapi mpaka unashindwa kujua umuhimu wa national pride?
kwa nini unasimamia hoja za kipumbavu?what's civics?Tanzania imezaliwa leo au haikuwepo kabla ya Magufuli?wizi mtupu.....maamuzi ya kishetani halafu mpumbavu mmoja anasimama kuyatetea.
 
Back
Top Bottom