Hezbollah ililenga roketi 20 Israel kama majibu ya roketi zilizolengwa katika ardhi ya Lebanon

Hezbollah ililenga roketi 20 Israel kama majibu ya roketi zilizolengwa katika ardhi ya Lebanon

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
8,633
Reaction score
16,586
Hizbullah: Shambulio la Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu kwa uchokozi wake

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: shambulio la maroketi lililofanywa jana asubuhi kulenga ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel), lilikuwa jibu mwafaka kwa uchokozi wa siku ya Alkhamisi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon.

Sheikh Naeem Qassim ameyasema hayo katika mahojiano na kanali ya habari ya Al Mayadin na akaongeza kwamba, utawala ghasibu wa Kizayuni inapasa ujue kuwa Lebanon si uwanja wa utawala huo kumalizia visasi vyake.

Amesema, msingi inaofungamana nao Hizbullah ni kwamba, itatoa jibu mwafaka kwa uchokozi wa aina yoyote utakaofanywa dhidi ya Lebanon. Na kwa sababu hiyo, jana ilitoa jibu kwa mvamizi kwa maroketi kadhaa.

Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah amesisitiza kuwa, Israel inapaswa ijue kwamba Lebanon si uwanja wa utawala huo kumalizia visasi vyake, si mahala pa kutunishia misuli yake, kufanya chokochoko au harakati za majaribio na wala si mahala pa kutimizia ndoto inazowaza akilini mwake. Lebanon ni mahala panapolindwa na kutunzwa.

Sheikh Naeem Qassim
Sheikh Naeem Qassim amefafanua kwa kusema: Sisi tumeshatangaza mara kadhaa kuwa, endapo Israel itafanya uchokozi wowote, tumejiweka tayari kutoa jibu. Hizbullah iko kwenye medani ya mapambano kuilinda Lebanon kwa kujiamini na kwa azma na irada kamili.

Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah jana ilitoa taarifa maalum na kutangaza kuwa, katika kujibu mashambulio ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel alfajiri ya kuamkia Alkhamisi katika sehemu za wazi za maeneo ya Al Jurmuq na Ash-Shawaakir, jana asubuhi mnamo saa tano na robo kwa saa za Lebanon brigedi za shahidi Ali Kamil Muhsin na shahidi Muhammad Qassim Tahan za muqawama wa Kiislamu zilishambulia kwa makumi ya makombora ya milimita 122 ardhi zilizo jirani na kituo cha kijeshi cha Wazayuni maghasibu katika mashamba ya Shab'a.../

KIUFUPI HUU MKASA ULIANZA HIVI

Huu mkasa ulianza week iliopita baada ya Meli ya Israel kushambuliwa Israel ikiihutumu Iran ndio imepiga meli yao, Israel tokea mda huo anatishia kuishambulia Iran akiomba Marekani na Uengereza kujiunga na yeye ili kuishambulia Iran, Marekani alisema kuwa anafanya uchunguzi huku Uengereza akilaumu Iran kushambulia meli hio na kusababisha raia wake mmoja kufariki, Iran imejibu kuwa shambulizi lolote litajibiwa vikali sana na kwaharaka, Israel ikaendelea na mikwara kuwa inapanga mashambulizi hayo kufanya pekeake bila ya ushirikiano wa nchi kama Marekani na Uengereza na ikatishia pia kulenga Lebanon na Syria

Wakati huo mda mfupi baada ya kutangaza hivyo yalilengwa makombora mawili kutokea Lebanon kuelekea Israel na yote yalibahatika kupenya coz ilikua kama suprise ambayo hawakutegemea kutokea kipindi hiko, makombora hayo yalijeruhi watu kama watu, Israel hapohapo ilijibu mapigo hayo kuazia mda huo mpaka mpaka usiku wanalenga ktk eneo la mashamba wanayosema mashambulizi hayo yalitokea, Israil ikasema inaonyeshea hayo mashambulizi hayatoki kwa Hizbollah bali yanatoka kwa wapalestina wanaoishi nchini Lebanon, kukawa kimya pande zote, Ijumaa mapema Zililengwa missile 20 kwa pamoja kuelekea Israel ambapo hawakutegemea kama mashambulizi hayo yatafanyika, Hizbullah hapohapo ikatangaza live kupitia mtandao wake kuwa ni wao waliolenga missiles hizo kuelekea Israel wakisema kuwa ni jibu la mashambulizi yaliofanyika Alhamis na wakasema Israel ikishambulia tena ktk ardhi ya Lebanon itajibu haraka na itailenga katika miji zaidi ya Haifa na Tel-Aviv

Israel ikasema mashambulizi hayo wanajua Iran inahusika na Italipa kisasi, mpaka sasa Israel haikujibu iko kimya but imeahidi kuwa italipa kisasi

So mpaka sasa inapanga kulipa visasi viwili Iran na Hizbollah
 
Iran akianza kulizwa, mtu asiingilie, tusisikie mtu analia lia, sasa hivi Iran itakuwa nyekundu. Majibu ya Israel subiri muone.
Anamshawish sponsa adhamin pambano ndio atajibu
 
Lebanon kaanza kuwakata Hezbollah anaogopa kichapo[emoji1787][emoji1787]
 
We ngoja uone kinachofuata
Kumbuka jana hezbullah walirusha rocket na kuonya israel kuwa ikishambulia tena lebanon basi italajie kichapo kwa mkwara huo israel ikaogopa kujibu mapigo. Je, kama wanaiyogopa hezbullah ndio wataweza kwa iran. Kichapo cha jana kutoka kwa hezbullah angalia chini hapa

img_1_1628084481993.jpg
 
SASA UMEAMIN ISRAEL INAIYOGOPA IRAN EEH MAANA JUZI WAYAHUDIKA WALIAPA KUITANDA IRAN JUZI HIYO HIYO LAKIN MPAKA LEO KIMYA MAMAEE
Ila hizi imani nyingine jamani!!yaani uchokozi wanauanza wao, kichapo kikianza wanasema wanaonewa hivyo wanatafuta huruma!!ila ninacho shukuru siku hizi, sio UN, USA, wala baraza la usalama la UN, israel akianza kutoa kichapo wanatulia kama hawapo vile, watu watiwe adabu kwanza, halafu ndio wanajitokeza sasa kukemea!!!mfano ile vita ya siku 11 kati ya wapalestina na israel, Hamasi wamekula kichapo, majengo yamebomolewa, watu wamekufa, vita ikaisha, sass wako wanajenga miundombinu, majengo yaliyobomolewa Yakikamilika tena, baada ya muda wanaanza tena, yanatokea yale yale!!yaani hata huwa sielewi mahesabu yao.Hata sasa iran, anachokitafuta atakipata tu!!ninachopenda nchi ya israel anabadirika kiongozi tu lakini misimamo ya nchi iko vile vile tu, ya UBAYA UBAYA TU!!!
 
Ila hizi imani nyingine jamani!!yaani uchokozi wanauanza wao, kichapo kikianza wanasema wanaonewa hivyo wanatafuta huruma!!ila ninacho shukuru siku hizi, sio UN, USA, wala baraza la usalama la UN, israel akianza kutoa kichapo wanatulia kama hawapo vile, watu watiwe adabu kwanza, halafu ndio wanajitokeza sasa kukemea!!!mfano ile vita ya siku 11 kati ya wapalestina na israel, Hamasi wamekula kichapo, majengo yamebomolewa, watu wamekufa, vita ikaisha, sass wako wanajenga miundombinu, majengo yaliyobomolewa.Yakikamilika tena, baada ya muda wanaanza tena, yanatokea yale yale!!yaani hata huwa sielewi mahesabu yao.Hata sasa iran, anachokitafuta atakipata tu!!ninachopenda nchi ya israel anabadirika kiongozi tu lakini misimamo ya nchi iko vile vile tu, ya UBAYA UBAYA TU!!!
narudia tena hezbullah sio hamas hezbullah wana nguvu za kijeshi kuliko inchi zote za east africa nenda kasome operation bint jubeil uwone IQ zao zinavyo fanya kazi cheki wanajeshi wa israel na muandishi wa habari wakikimbia hiyo ilikuwa majuzi
img_1_1623079449011.jpg
 
Ila hizi imani nyingine jamani!!yaani uchokozi wanauanza wao, kichapo kikianza wanasema wanaonewa hivyo wanatafuta huruma!!ila ninacho shukuru siku hizi, sio UN, USA, wala baraza la usalama la UN, israel akianza kutoa kichapo wanatulia kama hawapo vile, watu watiwe adabu kwanza, halafu ndio wanajitokeza sasa kukemea!!!mfano ile vita ya siku 11 kati ya wapalestina na israel, Hamasi wamekula kichapo, majengo yamebomolewa, watu wamekufa, vita ikaisha, sass wako wanajenga miundombinu, majengo yaliyobomolewa.Yakikamilika tena, baada ya muda wanaanza tena, yanatokea yale yale!!yaani hata huwa sielewi mahesabu yao.Hata sasa iran, anachokitafuta atakipata tu!!ninachopenda nchi ya israel anabadirika kiongozi tu lakini misimamo ya nchi iko vile vile tu, ya UBAYA UBAYA TU!!!
hezbullah warushagi maroketi ovyo kama hamas jamaa wana makombora yenye uwezo wa kulenga na kuangusha jengo lolote lile mkuu ukubali ukwel tu israel levo zake ni hamas tu
 
narudia tena hezbullah sio hamas hezbullah wana nguvu za kijeshi kuliko inchi zote za east africa nenda kasome operation bint jubeil uwone IQ zao zinavyo fanya kazi cheki wanajeshi wa israel na muandishi wa habari wakikimbia hiyo ilikuwa majuzi

hezbullah warushagi maroketi ovyo kama hamas jamaa wana makombora yenye uwezo wa kulenga na kuangusha jengo lolote lile mkuu ukubali ukwel tu israel levo zake ni hamas tu
Kwani mkuu ile vita ya 2006, ya siku 34, nani alipata hasara kubwa(vifo vya wanajeshi, raia, na mali) hadi kipigo kilipozidi Lebanon yenyewe ikawakataa!!tatizo la hawa na hamas kwanini huwa wanapenda kutumia raia kama ngao?ila israel ni kiboko ya mwarabu kwani bila kuwa mbambe pale asingeweza kuishi kamwe!!na siku hizi nchi za kiarabu zimeshaamua wewe bwana MWENYE KULITAFUTA, MWENYE KULIPATA, ukiwachokoza utamalizana nao, sisi tutakuja kukuchangia misaada baada ya kichapo!!
 
uu mkasa ulianza week iliopita baada ya Meli ya Israel kushambuliwa Israel ikiihutumu Iran ndio imepiga meli yao, Israel tokea mda huo anatishia kuishambulia Iran akiomba Marekani na Uengereza kujiunga na yeye ili kuishambulia Iran, Marekani alisema kuwa anafanya uchunguzi huku Uengereza akilaumu Iran kushambulia meli hio na kusababisha raia wake mmoja kufariki, Iran imejibu kuwa shambulizi lolote litajibiwa vikali sana na kwaharaka, Israel ikaendelea na mikwara kuwa inapanga mashambulizi hayo kufanya pekeake bila ya ushirikiano wa nchi kama Marekani na Uengereza na ikatishia pia kulenga Lebanon na Syria
Wakati huo mda mfupi baada ya kutangaza hivyo yalilengwa makombora mawili kutokea Lebanon kuelekea Israel na yote yalibahatika kupenya coz ilikua kama suprise ambayo hawakutegemea kutokea kipindi hiko, makombora hayo yalijeruhi watu kama watu, Israel hapohapo ilijibu mapigo hayo kuazia mda huo mpaka mpaka usiku wanalenga ktk eneo la mashamba wanayosema mashambulizi hayo yalitokea, Israil ikasema inaonyeshea hayo mashambulizi hayatoki kwa Hizbollah bali yanatoka kwa wapalestina wanaoishi nchini Lebanon, kukawa kimya pande zote, Ijumaa mapema Zililengwa missile 20 kwa pamoja kuelekea Israel ambapo hawakutegemea kama mashambulizi hayo yatafanyika, Hizbullah hapohapo ikatangaza live kupitia mtandao wake kuwa ni wao waliolenga missiles hizo kuelekea Israel wakisema kuwa ni jibu la mashambulizi yaliofanyika Alhamis na wakasema Israel ikishambulia tena ktk ardhi ya Lebanon itajibu haraka na itailenga katika miji zaidi ya Haifa na Tel-Aviv
Israel ikasema mashambulizi hayo wanajua Iran inahusika na Italipa kisasi, mpaka sasa Israel haikujibu iko kimya but imeahidi kuwa italipa kisasi
So mpaka sasa inapanga kulipa visasi viwili Iran na Hizbollah
Hapo ukute tayari umeishachanja chanjo ya bure kutoka marekani ndo unapata nguvu za kuinanga israel😄😄😄😄
 
Ila hizi imani nyingine jamani!!yaani uchokozi wanauanza wao, kichapo kikianza wanasema wanaonewa hivyo wanatafuta huruma!!ila ninacho shukuru siku hizi, sio UN, USA, wala baraza la usalama la UN, israel akianza kutoa kichapo wanatulia kama hawapo vile, watu watiwe adabu kwanza, halafu ndio wanajitokeza sasa kukemea!!!mfano ile vita ya siku 11 kati ya wapalestina na israel, Hamasi wamekula kichapo, majengo yamebomolewa, watu wamekufa, vita ikaisha, sass wako wanajenga miundombinu, majengo yaliyobomolewa.Yakikamilika tena, baada ya muda wanaanza tena, yanatokea yale yale!!yaani hata huwa sielewi mahesabu yao.Hata sasa iran, anachokitafuta atakipata tu!!ninachopenda nchi ya israel anabadirika kiongozi tu lakini misimamo ya nchi iko vile vile tu, ya UBAYA UBAYA TU!!!
Mkuu hapa Tanzania kuna Watanzania Waarabu na kuna Watanzania Waajemi. Wayahudi sidhani!

Anayeshabikia Waarabu/Waajemi sioni tatizo. Tatizo lipo kwa anayeshabikia Wayahudi nadhani hao ndiyo wanaoangukia kwenye ukarasa wa dini 😎
 
Hapo ukute tayari umeishachanja chanjo ya bure kutoka marekani ndo unapata nguvu za kuinanga israel[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mm sichomi chanjo na sitochoma labda siku hio nipate ajali au niumwe taabani nichomwe bila kujijua
 
Back
Top Bottom