mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mapigano yanaendelea kwenye mpaka wa Israel na Lebanon, ambapo hadi dasa wanamgambo 40 wa hezbollah wameuawa.
Source: CRI Kiswahili
Source: CRI Kiswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko haiMapigano yanaendelea kwenye mpaka wa Israel na Lebanon ambapo hadi Sasa wanamgambo 40 wa hezbollah wameuawa
Source:CRI kiswahili
Mm nmenukuu shirika la habari la kichina CRI kiswahili. ,Sizani Kama dini inahusika hapoIsrael hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko hai
wewe mbuz huoni hapo Source CRI Swahili ?Israel hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko hai
hawa waplestina karne ya 7 waliwaua wayaudi na kuwatimua , je leo wanaweza ?Wanapewa dawa au wanapeana, hivi unawajua vizuri Hezbollah? 2006 walienyeshana mwezi mzima, ikabidi mazingumzo yafanyike kumaliza vita!
Upotoshaji mtupu waliokufa ni wanajeshi 40 wa Israel na hezbollah walokufa ni 18Mapigano yanaendelea kwenye mpaka wa Israel na Lebanon ambapo hadi Sasa wanamgambo 40 wa hezbollah wameuawa
Source:CRI kiswahili
Sio Mimi ni CRIUpotoshaji mtupu waliokufa ni wanajeshi 40 wa Israel na hezbollah walokufa ni 18
Acha kuleta habari za uongo huku
mkuu please rudisha ile avatar picha ya baby face tuliokuzoea.Wanapewa dawa au wanapeana, hivi unawajua vizuri Hezbollah? 2006 walienyeshana mwezi mzima, ikabidi mazingumzo yafanyike kumaliza vita!
Ha ha poa mkuu!mkuu please rudisha ile avatar picha ya baby face tuliokuzoea.
Usilete habari usiokuwa na uhakika nazo myahudi wa buzaMapigano yanaendelea kwenye mpaka wa Israel na Lebanon ambapo hadi Sasa wanamgambo 40 wa hezbollah wameuawa
Source:CRI kiswahili
Inamaana huelewi Kuna tofauti ya ukristo na uyahudi? Au tu unajitoa fahamu?Israel hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko hai
China na media zake zimeingia mkenge wa Western propaganda?Hezbolla sio hamas hawa wako advanced zaidi apo ni moto moto .achana na hizi propaganda
Safi sana mkuu.Ha ha poa mkuu!
Kwanini unawachukia sana waisrael?Upotoshaji mtupu waliokufa ni wanajeshi 40 wa Israel na hezbollah walokufa ni 18
Acha kuleta habari za uongo huku
We nani athubutu?Waarabu si waingilie
Ulionukuu umenukuu vibaya. Penye Husbullah umedit umeeka IsraelMm nmenukuu shirika la habari la kichina CRI kiswahili. ,Sizani Kama dini inahusika hapo