Hezbollah waanza kupewa dawa ya moto

Hezbollah waanza kupewa dawa ya moto

Wanapewa dawa au wanapeana, hivi unawajua vizuri Hezbollah? 2006 walienyeshana mwezi mzima, ikabidi mazingumzo yafanyike kumaliza vita!
hawa waplestina karne ya 7 waliwaua wayaudi na kuwatimua , je leo wanaweza ?
 
Upotoshaji mtupu waliokufa ni wanajeshi 40 wa Israel na hezbollah walokufa ni 18

Acha kuleta habari za uongo huku
Sio Mimi ni CRI
 

Attachments

  • IMG_20231026_113013.jpg
    IMG_20231026_113013.jpg
    32.2 KB · Views: 2
Israel hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko hai
Inamaana huelewi Kuna tofauti ya ukristo na uyahudi? Au tu unajitoa fahamu?
 
Back
Top Bottom