Hezbollah waanza kupewa dawa ya moto

Wanapewa dawa au wanapeana, hivi unawajua vizuri Hezbollah? 2006 walienyeshana mwezi mzima, ikabidi mazingumzo yafanyike kumaliza vita!
hawa waplestina karne ya 7 waliwaua wayaudi na kuwatimua , je leo wanaweza ?
 
Israel hata kuku hajafa? .hivi wakiristo wa jf mnanvyovitangaza kama ni kweli hakuna mpalestina alioko hai
Inamaana huelewi Kuna tofauti ya ukristo na uyahudi? Au tu unajitoa fahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…