Hezbollah yamzika kamanda aliyeuawa katika shambulio la Israel huku mzozo ukiongezeka

Hezbollah yamzika kamanda aliyeuawa katika shambulio la Israel huku mzozo ukiongezeka

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Tunakuletea sasa taarifa kutoka kwa mazishi ya kamanda mkuu wa Hezbollah, Ibrahim Aqil. Aliuawa katika shambulizi la Israel kwenye viunga vya kusini mwa Beirut siku ya Ijumaa.
Shambulio hilo liliashiria kuongezeka kwa awamu ya sasa ya mzozo wa Israel-Hezbollah, ulioanza tarehe 8 Oktoba. Hivi ndivyo wiki hii imekuwa:
  • Siku ya Jumanne, watu 12 waliuawa na maelfu kujeruhiwa baada ya 'pagers' zinazotumiwa na Hezbollah kulipuka nchini Lebanon.
  • Siku ya Jumatano, simu za upepo zinazotumiwa na Hezbollah pia zililipuka, na kuua watu 27 na mamia kujeruhiwa.
  • Hezbollah iliilaumu Israel kwa mashambulizi hayo. Wakati Israeli ilikataa kutoa maoni, inachukuliwa kuwa inawajibika
  • Siku ya Ijumaa, Israel ilisema ilifanya mashambulizi ya anga katika kitongoji cha Dahieh, ngome ya Hezbollah kusini mwa Beirut.
  • Hezbollah ilisema Aqil aliuawa katika shambulio hilo. IDF inasema iliua watu kadhaa wakuu ndani ya kundi hilo
  • Wizara ya afya ya Lebanon ilisema watu 45, wakiwemo watoto watatu, waliuawa katika shambulio hilo - karibu na mahali ambapo mazishi ya leo yamefanyika.

Maandalizi makini yalifanywa kwa ajili ya mazishi ya kamanda wa jeshi la Hezbollah Ibrahim Aqil, huku safu za viti vya plastiki zikiwa zimewekwa mbele ya zulia jekundu.
Sherehe hiyo imefanyika katika kitongoji cha kusini cha Dahiyeh huko Beirut, ngome ya Hezbollah.
Maulamaa wa KiShia waliketi i katika safu ya mbele. Wanaume wengi wamekuja kuomboleza, wamevaa nguo nyeusi, na mikanda ya njano ya Hezbollah shingoni mwao.
Kumpoteza Aqil ni pigo kubwa kwa kundi hilo lenye silaha, baada ya mfululizo wa mashambulizi ya kufedhehesha ya Israel na kulipua vifaa vyao vya mawasiliano vya 'pagers' na simu za upepo.

Naibu katibu mkuu wa Hezbollah Sheikh Naim Qassem alikuwa miongoni mwa waliohudhuria na aliketi mstari wa mbele.
Maulamaa wengi wa Kishia waliovalia vilemba vyeupe pia walijitokeza
BBC
 
IDF ni jeshi lenye kujali raiahapo walikuwanazo taarifa zote kwamba wapi hayo maziko yanafanyika ila hawajaweza kushambulia kwakuwa Wana nidhamu na kujali utu.
Bwege wewe toka lini walijali watu hao kwa hio unataka Hezbullah akawapige wale rai wanao andamana huko Israel. We umetazama Hezbullah anavyo piga kambi za jeshi, base, viwanda vya jeshi hapigi civilian zile nyumba ulizo ona zinawaka kule Haifa ni za mastaff wa kiwanda cha Rafael kinacho tengeneza silaha 😄

We tazama huyo unaye msifia hapigi civilian hao makamanda wa Hezbullah walikuwa kwenye civilian area, na hio ni Hotel walikwenda kufanya meeting kule lakini kuna mnafiki akatoa habari wakaja piga hilo jumba hawakujali civilian na wanao ishi hapo. Waongo nyie kama yule model wenu Paulo.

Kuhusu Pager na zile walkie talkies mlifikiria civilian.
 
Bwege wewe toka lini walijali watu hao kwa hio unataka Hezbullah akawapige wale rai wanao andamana huko Israel. We umetazama Hezbullah anavyo piga kambi za jeshi, base, viwanda vya jeshi hapigi civilian zile nyumba ulizo ona zinawaka kule Haifa ni za mastaff wa kiwanda cha Rafael kinacho tengeneza silaha 😄

We tazama huyo unaye msifia hapigi civilian hao makamanda wa Hezbullah walikuwa kwenye civilian area, na hio ni Hotel walikwenda kufanya meeting kule lakini kuna mnafiki akatoa habari wakaja piga hilo jumba hawakujali civilian na wanao ishi hapo. Waongo nyie kama yule model wenu Paulo.

Kuhusu Pager na zile walkie talkies mliofikiria civilian.
Ulamaa unalalama kwa maumivu wiki hii imeisha vibaya sana kwenu
 
Tunakuletea sasa taarifa kutoka kwa mazishi ya kamanda mkuu wa Hezbollah, Ibrahim Aqil. Aliuawa katika shambulizi la Israel kwenye viunga vya kusini mwa Beirut siku ya Ijumaa.
Shambulio hilo liliashiria kuongezeka kwa awamu ya sasa ya mzozo wa Israel-Hezbollah, ulioanza tarehe 8 Oktoba. Hivi ndivyo wiki hii imekuwa:
  • Siku ya Jumanne, watu 12 waliuawa na maelfu kujeruhiwa baada ya 'pagers' zinazotumiwa na Hezbollah kulipuka nchini Lebanon.
  • Siku ya Jumatano, simu za upepo zinazotumiwa na Hezbollah pia zililipuka, na kuua watu 27 na mamia kujeruhiwa.
  • Hezbollah iliilaumu Israel kwa mashambulizi hayo. Wakati Israeli ilikataa kutoa maoni, inachukuliwa kuwa inawajibika
  • Siku ya Ijumaa, Israel ilisema ilifanya mashambulizi ya anga katika kitongoji cha Dahieh, ngome ya Hezbollah kusini mwa Beirut.
  • Hezbollah ilisema Aqil aliuawa katika shambulio hilo. IDF inasema iliua watu kadhaa wakuu ndani ya kundi hilo
  • Wizara ya afya ya Lebanon ilisema watu 45, wakiwemo watoto watatu, waliuawa katika shambulio hilo - karibu na mahali ambapo mazishi ya leo yamefanyika.

Maandalizi makini yalifanywa kwa ajili ya mazishi ya kamanda wa jeshi la Hezbollah Ibrahim Aqil, huku safu za viti vya plastiki zikiwa zimewekwa mbele ya zulia jekundu.
Sherehe hiyo imefanyika katika kitongoji cha kusini cha Dahiyeh huko Beirut, ngome ya Hezbollah.
Maulamaa wa KiShia waliketi i katika safu ya mbele. Wanaume wengi wamekuja kuomboleza, wamevaa nguo nyeusi, na mikanda ya njano ya Hezbollah shingoni mwao.
Kumpoteza Aqil ni pigo kubwa kwa kundi hilo lenye silaha, baada ya mfululizo wa mashambulizi ya kufedhehesha ya Israel na kulipua vifaa vyao vya mawasiliano vya 'pagers' na simu za upepo.

Naibu katibu mkuu wa Hezbollah Sheikh Naim Qassem alikuwa miongoni mwa waliohudhuria na aliketi mstari wa mbele.
Maulamaa wengi wa Kishia waliovalia vilemba vyeupe pia walijitokeza
BBC
Magaid ya kiislamu mavaa vilemba yateketezwe yote yachinjwe
 
Bwege wewe toka lini walijali watu hao kwa hio unataka Hezbullah akawapige wale rai wanao andamana huko Israel. We umetazama Hezbullah anavyo piga kambi za jeshi, base, viwanda vya jeshi hapigi civilian zile nyumba ulizo ona zinawaka kule Haifa ni za mastaff wa kiwanda cha Rafael kinacho tengeneza silaha 😄

We tazama huyo unaye msifia hapigi civilian hao makamanda wa Hezbullah walikuwa kwenye civilian area, na hio ni Hotel walikwenda kufanya meeting kule lakini kuna mnafiki akatoa habari wakaja piga hilo jumba hawakujali civilian na wanao ishi hapo. Waongo nyie kama yule model wenu Paulo.

Kuhusu Pager na zile walkie talkies mlifikiria civilian.
Mbona unaandika huku unalia?
 
IDF ni jeshi lenye kujali raiahapo walikuwanazo taarifa zote kwamba wapi hayo maziko yanafanyika ila hawajaweza kushambulia kwakuwa Wana nidhamu na kujali utu.
Hapo ndo Mimi wananiuzi sana Israel.

Kwanini wasingewamaliza wote ili vita viishe haraka??
 
Tunakuletea sasa taarifa kutoka kwa mazishi ya kamanda mkuu wa Hezbollah, Ibrahim Aqil. Aliuawa katika shambulizi la Israel kwenye viunga vya kusini mwa Beirut siku ya Ijumaa.
Shambulio hilo liliashiria kuongezeka kwa awamu ya sasa ya mzozo wa Israel-Hezbollah, ulioanza tarehe 8 Oktoba. Hivi ndivyo wiki hii imekuwa:
  • Siku ya Jumanne, watu 12 waliuawa na maelfu kujeruhiwa baada ya 'pagers' zinazotumiwa na Hezbollah kulipuka nchini Lebanon.
  • Siku ya Jumatano, simu za upepo zinazotumiwa na Hezbollah pia zililipuka, na kuua watu 27 na mamia kujeruhiwa.
  • Hezbollah iliilaumu Israel kwa mashambulizi hayo. Wakati Israeli ilikataa kutoa maoni, inachukuliwa kuwa inawajibika
  • Siku ya Ijumaa, Israel ilisema ilifanya mashambulizi ya anga katika kitongoji cha Dahieh, ngome ya Hezbollah kusini mwa Beirut.
  • Hezbollah ilisema Aqil aliuawa katika shambulio hilo. IDF inasema iliua watu kadhaa wakuu ndani ya kundi hilo
  • Wizara ya afya ya Lebanon ilisema watu 45, wakiwemo watoto watatu, waliuawa katika shambulio hilo - karibu na mahali ambapo mazishi ya leo yamefanyika.

Maandalizi makini yalifanywa kwa ajili ya mazishi ya kamanda wa jeshi la Hezbollah Ibrahim Aqil, huku safu za viti vya plastiki zikiwa zimewekwa mbele ya zulia jekundu.
Sherehe hiyo imefanyika katika kitongoji cha kusini cha Dahiyeh huko Beirut, ngome ya Hezbollah.
Maulamaa wa KiShia waliketi i katika safu ya mbele. Wanaume wengi wamekuja kuomboleza, wamevaa nguo nyeusi, na mikanda ya njano ya Hezbollah shingoni mwao.
Kumpoteza Aqil ni pigo kubwa kwa kundi hilo lenye silaha, baada ya mfululizo wa mashambulizi ya kufedhehesha ya Israel na kulipua vifaa vyao vya mawasiliano vya 'pagers' na simu za upepo.

Naibu katibu mkuu wa Hezbollah Sheikh Naim Qassem alikuwa miongoni mwa waliohudhuria na aliketi mstari wa mbele.
Maulamaa wengi wa Kishia waliovalia vilemba vyeupe pia walijitokeza
BBC
Hapo israel imekosea hao magaidi wanapozikana ndio israel ingewashushia vitu wangepoteana pamoja na Nasrullah
 
IDF ni jeshi lenye kujali raia, hapo walikuwanazo taarifa zote kwamba wapi hayo maziko yanafanyika ila hawajaweza kushambulia kwakuwa Wana nidhamu na kujali utu.
Ingekua wao sasa mbona wangewasha bila kijali watoto
 
Back
Top Bottom