gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Nasrallah anaweza kaa mwaka asiongeeNasrullah mbona sasahivi haongei tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasrallah anaweza kaa mwaka asiongeeNasrullah mbona sasahivi haongei tena
Limepanguliwa na nani!?Sasa hezbollah wamepata faida gani wakati kombora lenyewe limepanguliwa
Mbona umeongea kwa chuki namna hiyo,shida nini kaka.Kwa hiyo hao 17 wako na Allah peponi na Allah anashuhudia shoo live za wale bikira 72? Aaaaaiiiseeee kuwa Allah ni raha halafu huku dunia Allah ana majeshi yake yenye silaha( Islamic jihad,boko haram, alqaida, Hezbollah,Isis,Hamas).
Na mfumo wa israel unaitwa Arrow systemsLimepanguliwa na nani!?
Arrow haina uwezo wa kutungua hayo makomboraNa mfumo wa israel unaitwa Arrow systems
Imetungua sasa hata ushahidi tumeuona hivi waislamu mnafundishwaga ubishi huko madrasa kama kombora halikutunguliwa umeona madhara gani yametajwa?Arrow haina uwezo wa kutungua hayo makombora
Media zimezithibitisha na ushahidi wa video umewekwa ila kobazi wa kwa mpalange unabishaArrow haina uwezo wa kutungua hayo makombora
Ni kuwa challenge tu wafuasi Hezbollah wa humu jamii forum. Wao ni kushabikia tu vitu visivyo na maana kisa dini. Nilitaka nichafue tu hali ya hewa ndugu yangu. KWANI MBONA DUBAI MAISHA YANAENDELEA TU BILA KUWEPO KIKUNDI HATA KIMOJA CHA KUFADHILIWA NA IRAN?Mbona umeongea kwa chuki namna hiyo,shida nini kaka.
Halafu hizo shoo live ni kila mmoja anavyotaka kuseviwa doggy, missionary etc kila mtu na fantacy yake. Hao akina majeshi yenye silaha ni "makuruta" au ni Wateule wanaandaliwa.Kwa hiyo hao 17 wako na Allah peponi na Allah anashuhudia shoo live za wale bikira 72? Aaaaaiiiseeee kuwa Allah ni raha halafu huku dunia Allah ana majeshi yake yenye silaha( Islamic jihad,boko haram, alqaida, Hezbollah,Isis,Hamas).
Ok,nenepaMedia zimezithibitisha na ushahidi wa video umewekwa ila kobazi wa kwa mpalange unabisha
David slingImetungua sasa hata ushahidi tumeuona hivi waislamu mnafundishwaga ubishi huko madrasa kama kombora halikutunguliwa umeona madhara gani yametajwa?
Mkuu inasemekana tayariHivi yule boss wao mkuu aliekuja mbele ya camera juzi kati kutoa mikwara kwa Israel yuko wapi?