inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa nini mkuu?.. israel kanadi kubadili mwelekeo wa vita, kikosi toka gaza kimeelekea kaskazini mpakani na lebanonHezbollah nawaonea huruma sanaaa
Kobazi maamuzi yao ni kama wamekatwa vichwaWavaakobazi ni kama movie za wavietinam na wamarekani,viakufa ila vinaendelea kumfuta myahudi.
Myahudi sio level za wavaa kobazi atawamaliza
Wayahudi wametoa ofa kwa waafrika,kuingizwa jeshini upande wa israel kisha watapata makazi ya kudumu israel, israel wameishiwa wanajeshi,wameenda wapi?!..juzi wakilazima wale wayahudi wasiopigana vita waingizwe jeshiniWavaakobazi ni kama movie za wavietinam na wamarekani,viakufa ila vinaendelea kumfuta myahudi.
Myahudi sio level za wavaa kobazi atawamaliza
Hakuna kurudi nyumbani Nasrallah kawambia kina netanyau saiv ili warudi nyumbani gaza asibaki hata sisimizi moja ya IDFKazi imeanza,maana israel naye kaondoa kikosi gaza kakipeleka kaskazini Ili raia wake laki tatu warudi nyumbani
Maamuzi ya Netanyau ndio kama kakatwa kichwa yeye anawaza kuua mpaka asie kuwemo matokeo yake ndio hayo na ipo siku atapiga nyuklia maana mentally hayuko sawa na jeshi zima, kuna wakati wanajeshi wake wanaweza kuchapa shaba jengo zima ambalo halina mtu huko gaza mpaka matundu alafu anakaa chini anaanza kulia yaani wako frustrated hao IDF maiti zinatisha alafu wengi ni vitoto vya ef 2000, sasa apo nani ana maamuzi ya kama hana kichwa.Kobazi maamuzi yao ni kama wamekatwa vichwa
Sasa umeandika kwa kwa akili za kichwani au makalioMaamuzi ya Netanyau ndio kama kakatwa kichwa yeye anawaza kuua mpaka asie kuwemo matokeo yake ndio hayo na ipo siku atapiga nyuklia maana mentally hayuko sawa na jeshi zima, kuna wakati wanajeshi wake wanaweza kuchapa shaba jengo zima ambalo halina mtu huko gaza mpaka matundu alafu anakaa chini anaanza kulia yaani wako frustrated hao IDF maiti zinatisha alafu wengi ni vitoto vya ef 2000, sasa apo nani ana maamuzi ya kama hana kichwa.
Hizbollah sio M23Mungu wa waarabu andae bikira za kutosha sasa huko pepon maana kifuatacho ITV
Pia andae na vikombe vingi vya vya kunywea pombe
Huruma yako unaitumia vibaya, kuna watu ndani ya ukoo wako wana uhitaji na huruma yako zaidi ya Hezbollah.Hezbollah nawaonea huruma sanaaa
Hao walioondoshwa Gaza wamesema wamechoka kupigana.Kazi imeanza,maana israel naye kaondoa kikosi gaza kakipeleka kaskazini Ili raia wake laki tatu warudi nyumbani
Lakini haya maguruneti yameua hayajaua?Mwenzio anakulipua kwa kifaa chako mwenyewe anakigeuza bomu kukumaliza na anawalipua massively to retaliate unarusha vigruneti! Hizo ndio akili za kuku sasa.
Usijionee huruma wewe na nafsi yako leo hii uwe na huruma na mwarabu wa mashatiki ya kati au bange limekukolea mkuu😆Hezbollah nawaonea huruma sanaaa
Mimi nashangaa wanaofatilia hezbollah na Israel kana kwamba hawana kazi za kufanya.Israel yupo hapo toka 1947 na 29 November mwaka huu wanatimiza miaka 77.Kwa nini mkuu?.. israel kanadi kubadili mwelekeo wa vita, kikosi toka gaza kimeelekea kaskazini mpakani na lebanon
Gaidi sio Mtu wa kuhurumiwa hurumia raia waliopanga Nyumba moja na Magaidi.Hezbollah nawaonea huruma sanaaa