Hezbollah yawahamisha haraka maofisa wake waandamizi kutokea kambi yao kuu kusini mwa Lebanon, wahofia kipigo cha ISR

Hezbollah yawahamisha haraka maofisa wake waandamizi kutokea kambi yao kuu kusini mwa Lebanon, wahofia kipigo cha ISR

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote.

IDF na mossad wanatisha Ndugu zangu. Huko Kusini mwa Lebanon ambalo ndiyo makao makuu ya Hezbollah hakukaliki Wala hakulaliki kabisa huku hofu kubwa ikitanda.

Wameamua kufanya maamuzi mazito ya kuwakimbiza haraka maofisa wao waandamizi na vifaa vizito vya kijeshi kusikojilikana wakihofia ndege za IDF zinazoperuzi bila hofu kwenye anga ya Lebanon.

Mungu ibariki Israel.

Vyanzo vya habari vya Kiarabu vinaripoti kuwa Hezbollah inawahamisha maafisa wake wakuu kutoka ngome za kundi hilo la kigaidi katika vitongoji vya kusini mwa Beirut, kwa kutarajia mashambulio ya Israeli.

Kundi hilo linaloungwa mkono na Iran pia limeripotiwa kuhamisha vifaa vya kijeshi walivyohifadhi katika viunga vya Beirut hadi maeneo ya mbali zaidi.

Soma zaidi: Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon
 
Watu mnashinda online kupitia media mpaka zile zisizoeleweka mradi mpate habari za Israel/Iran/Hezbollah

Watu hamjui kama Mhe. Rais Samia kipenzi cha watanzania ashazindua SGR, leo ana ziara Mkoa wa Morogoro, sasa tuko kwenye Wiki ya nanenane, kuna uchaguzi wa TLS nk.

Okonkwo kwenye moja ya maandishi yake alisema, "A man brags his own penis however tinny". Basi tuhangaike na pen**is zetu tuache yao waendelee
 
Watu mnashinda online kupitia media mpaka zile zisizoeleweka mradi mpate habari za Israel/Iran/Hezbollah

Watu hamjui kama Mhe. Rais Samia kipenzi cha watanzania ashazindua SGR, leo ana ziara Mkoa wa Morogoro, sasa tuko kwenye Wiki ya nanenane, kuna uchaguzi wa TLS nk.

Okonkwo kwenye moja ya maandishi yake alisema, "A man brags his own penis however tinny". Basi tuhangaike na pen**is zetu tuache yao waendelee
Kwani umesahau qauli ya wahenga kwamba!; MWENZIO AKINYOLEWA WW TIA MAJI
 
Back
Top Bottom