Hezekiah Ochuka: Mwanajeshi aliyeitawala Kenya kwa saa 6 tu baada ya kutekeleza mapinduzi

Angalau alitimiza ndoto yake ya kuwa Mkuu wa nchi, japo alionja kwa hayo masaa 6 tu!
 
Jaribio lao lingefanikiwa leo hii pasingekuwa na Chama kinaitwa CCM
Kabisa na vyama vingi vingeingia TZ 1984..Kadego na Maganga walinambia mpango ulikuwa ni kupindua na serikali kuongozwa na raia.Wanajeshi wasingekaa sana madarakani.
 
Mkuu maana ya Air Force One sijaielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…