Rafiki Mtz
Member
- Jul 28, 2014
- 23
- 5
Karibu sana jamvini...angalau umekuwa na busara. Sisi wengine tuliingia tu bila hodi-umetugunza kitu
Karibu sana jamvini.Naomba nibishe hodi rasmi maana si busara kuingia ndani bila kubisha hodi angali kuna wenyeji!
Hi wakongwe wote! Salute!
Na wewe mzamiaji karibu sana jamvini.Karibu sana jamvini...angalau umekuwa na busara. Sisi wengine tuliingia tu bila hodi-umetugunza kitu