Johnson json
Member
- Aug 20, 2023
- 29
- 38
Kwa yeyote mwenye uwelewa na gwec investment vio kwamba hii project yao ni ya kwel ama ni utapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kweli kabisa Mkuu...Kwa yeyote mwenye uwelewa na gwec investment vio kwamba hii project yao ni ya kwel ama ni utapeli
Na ndo maana nmeuliza Kwa anaejuaa mkuuNi ya kweli kabisa Mkuu...
Ni vile tu huna akili... unadhani kila mtu anajua hao gweki sijui dwenti ni kina nani??
Wauza mirungi au bangi? Au wasaga sumu??
Haya nakuhakikishia hiyo project ya uchimbaji visima ni ya kweli kabis
Naelewa.. ila nmeuliza na upandee wa hukuu ni vipWekeza kwemye kilimo pesa yako unaiona ata ukipata hasara achana na mtandao
Na ww umewekeza tiariKuna jamaa yangu anaringishia anaingiza laki mbili kila siku, nikaona mmhh ngoja tuone inakuaje nwishoni
Hapana mkuu mi nimetest zali kwenye F.I.C niliweka hela ndogo ili hata nikipunwa mbeleni isiwe issueNa ww umewekeza tiari
So ko yeye amewek kama 2M..
hao jamaa wanatumia au wanakwenda na upepo wa fic ambao ni waanzilishi sasa kama unataka kuwa mwekezaji wa uhakika ishi na hii link https://mobile.fic.cc/signup?code=96222164Kwa yeyote mwenye uwelewa na gwec investment vio kwamba hii project yao ni ya kwel ama ni utapeli
Mkuu hao F.i.c umewekeza kwa muda gani tangu uanzehao jamaa wanatumia au wanakwenda na upepo wa fic ambao ni waanzilishi sasa kama unataka kuwa mwekezaji wa uhakika ishi na hii link https://mobile.fic.cc/signup?code=96222164
Acha basiGwec kimewalamba hukoo
Tangu j3 mkuu, pesa wanaziona lakini hawawezi kuzitoaAcha basi
ndugu mimi nimewekeza mwez wa tatu sasa na agent comission ya hadi 100k kwa kila weekMkuu hao F.i.c umewekeza kwa muda gani tangu uanze
Yaan pesa rahisi rahisi namna hii huwaga lazima watu wapigwe na kitu Kizito. Kuna sister mmoja (homeboy) NI last week ameweka milioni mbili kwenye gwec. Sasa sijui kama alikua mjanja wa kufanya withdrawal kila akimeki profit au ndio alikua anasubiri mbuzi azidi kuonaHivi haya mambo yakuwaje kuwaje.... Vilio vinakuwa ni vingi kuliko furaha....
Check me on whatsapp for more detail 0716512933hao jamaa wanatumia au wanakwenda na upepo wa fic ambao ni waanzilishi sasa kama unataka kuwa mwekezaji wa uhakika ishi na hii link https://mobile.fic.cc/signup?code=96222164