Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amen mahesabu na si hivyo yaani nimeinyunyizia simu damu ya yesu kabisa ikawasafishe ..
Unajua watu wamekuwa wabaya sikuhizi ..unaweza jua wanakutafuta wewe kumbe lengo lao kukuharibi ndoa yako nawatangazia moto wa yesu uwaangamize kama wwewe unakatabia hiko kwa ndoa za watu ukome kabisa kabisa tena ulegee kwa damu ya yesu kama kuna mitego imetegwa ikateguliwa kwa damu ya mwana kondoo na kama michoro imechorwa juu yangu ikararuliwe kwa damu ya yesu upako huu utembee na kila mwana jf anependa ndoa yake
yawezekana ni jasusi mhh aka kambinu wakikatumi wakware wengi watadakwa humu jf. jamani privancy ni muhimuLoh
Yawezekana umeanza ogopa..la hasa aijatoka kwa pdidy...tangu jumamosi wapendwa natumiwa msg ifuatayo nkaona si haba niwashirikishe hasa wenzangu wale wanaotarajia kuoa..nibanfsi nilimjibu amechelewa nina mwenza bado akaendelea kutuma anayoweza msg ilikwua ifuatavyo
"'Hello Dear habari zako.. samahan najua unijui sikujui nimeonyeshwa picha yako na rafiki yangu mmoja kwa kweli nikiwa kama mwanadada nieleze hamu yangu kwako natamani penzi lako,,naomba kama waweza wasiliana na namba hiii ntafurah zaidi..wako akupendae
Irene
Hii n msg niliopokea na namba 0652 45 63 20
Badda ya muda akantumia picha zake mbali mbali..anyway nikamjibu kama nilivyosema hapo juu akangangana anaomba hata niwe nae usiku mmoja..nilimweleza nashukuru muda umepita wakati huu nina wa kulala nae masaa 24...Badda ya hapo akantumia msg nyingine naomba kama una rafiki kama wewe unitumie namba yake natafuta mchumba wa kuzaa nae..sikujibu maana nikaona tunapoenda tutaanza kumlalamikia shetwan buree..akatuma msg za ajabu nikaona si haba kaama amedhamiria yawezekana kupitia JF tukapata shemeji mzuri atakaemliwaza kama si kumwibia....
kama uko kwenye mchakato wa kijivu gamba la ubachela basi angalia hiyo namba ujimulike kama waweza vaa vazi la chama cha walala u*** tanzania(VCCWUT)..Nni dada mzuri naomba mwenye kuhitaj asisite kwuasiliana nae
Mkuu kwa kuweka simu yake sikuungi mkono. Kwani ungesema anayetaka aku pm ingekuwa issue.? Sasa kama anajamaa ambaye ananamba yake si unakuwa umemuuza na kumdhalilisha?
Alikueleza anakaa maeneo gani???
Katika siku ulizoharibu ni leo kha!!!!