MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Ni system inayokulazimisha kwa hiari kufanya wanayotaka. utachelewa sana kuielewa Tanzania.Mbona hawalazimishi watu walale kwenye hizo lodge....watu kibao wanalala stendi wanapokuwa wamefika mwisho wa safari.....waTanzania wengi huwa wanakomaa kwenye baridi mpaka asubuhi....swala la Lodge ni mfuko wako na matakwa yako mwenyewe.....halafu sio Zambi wakubwa kumiliki vitega uchumi kama ni vya halali....sijawahi kusikia wanatangaza kuna Lodge kwa ajili ya abiria wanaokwenda mbali na stendi.
😂😂😂Kwamba,
Abiria anaenda Mbagala.
Bus linaenda Mbagala huko huko.
Lakini abiria anatakiwa kushushwa Mbezi apande daladala kwenda Mbagala wakati Bus na lenyewe linaenda Mbagala likiwa TUPU.
Aliyefanya haya maamuzi Ni CHOKO, ANAPULIZWA NYUMA
Kuna mmiliki wa mabasi katika hiyo clip ndio amezungumza hayo mkuuWatu wakubwa wafungue Lodge za buku Kumi waache dili za matilioni hacha utani wewe
Kinachofanyika sio sahii unamlazimishaje mwenye bus Aishie mbezi wakati anaweza kufika Mpaka mbagala kushusha abiria
kosa la kiongozi mmoja husisingizie wote
Hakuna ujeuri labda kama na wewe ni mhusika ila Kuna ukweliWachaga ni wajeuri sana, wanagomea agizo la serikali[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Kazi ipoMod, msichanganye aka kauzi,
Hivi serikali inafurahia wananchi wake wateseke kwanini? Nimemsikia mmiliki mmoja wa mabasi akisema kuwa kuna watu wakubwa wana logde zao wanazimiliki karibu na stendi kuu ya mabasi.kwahiyo kitendo Cha wao kuwapeleka abiria maeneo karibu na makwao inafanya wasipate wateja kwenye gesti zao.
Kwahiyo ndiomaana hawataki wamiliki wa mabasi wawasaidie abiria watokao mikoani kuwasogeza jirani na makwao, hususani kwa wale abiria wanaoishi maeneo ya mbali na mji.
Tazama hii clip wananchi wanavyolalamika.
Mpuuzi km huyo ujue ana kitorori cha kumsogezaAisee, unasikitisha sana
Huu ni upumbavu wa kiwango cha PHDMod, msichanganye aka kauzi,
Hivi serikali inafurahia wananchi wake wateseke kwanini? Nimemsikia mmiliki mmoja wa mabasi akisema kuwa kuna watu wakubwa wana logde zao wanazimiliki karibu na stendi kuu ya mabasi.kwahiyo kitendo Cha wao kuwapeleka abiria maeneo karibu na makwao inafanya wasipate wateja kwenye gesti zao.
Kwahiyo ndiomaana hawataki wamiliki wa mabasi wawasaidie abiria watokao mikoani kuwasogeza jirani na makwao, hususani kwa wale abiria wanaoishi maeneo ya mbali na mji.
Tazama hii clip wananchi wanavyolalamik
Nadhani yote inafaa tuHapa ulikuwa unamaanisha ya kise* au ya kiku**?
Mambo ya kukaa kwa shemeji raha sana. Toka ukatafute cha kwako uone kama utaropoka eti abiria waachwe stendi.Ma BUS yote yashushe hapohapo Stend.
Raia achague mwenyewe, Kulala hapohapo Stend mpaka pakuche au ajiongeze !!.
Raia hapaswi kubembelelezwa kwenye jambo kama Hili.