MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Shida ya serikali ni tozo tu, hakuna kingine.
Kama vipi waweke tu tozo ya stand ya Magufuli, kila basi linalovuka kuingia na kutoka Dar lilipie hiyo Tozo, ila kushusha na kupandisha itakuwa juu yao.
Kama vipi waweke tu tozo ya stand ya Magufuli, kila basi linalovuka kuingia na kutoka Dar lilipie hiyo Tozo, ila kushusha na kupandisha itakuwa juu yao.