Hi

Hi

hahahahahh lol
usijali nitaogelea bahari zote saba
na hata maziwa yote mpkana nipate chozi lako...

sijui ntaishi vipi bila wewe....

haya mwalimu anakuja ....
nta malizia kuandika baadaye kwenye kipindi cha dini.
sababu yule sister ni mpole....

kwa sasa kalamu imeanza kuisha wino..
na kesho ntanunua daftari kubwa..
yote kwa ajili yako...

hahahah lol
nasikitika kukuacha lakini kesho ni siku ya kazi,sweetdreams.
 
hahahahahh lol
usijali nitaogelea bahari zote saba
na hata maziwa yote mpkana nipate chozi lako...

sijui ntaishi vipi bila wewe....

haya mwalimu anakuja ....
nta malizia kuandika baadaye kwenye kipindi cha dini.
sababu yule sister ni mpole....

kwa sasa kalamu imeanza kuisha wino..
na kesho ntanunua daftari kubwa..
yote kwa ajili yako...

hahahah lol

Sili silali bila wewe
Usiku silali nakuota wee
Nikinywa maji nakuona kwenye glas.

Haaa ha ha ha kumbe wahome nawe ulikuwepo enzi hizo???
 
habarin yake AD na desidii kumbe mahommies

mmenifurahisha sana kwa mambo yetu ya barua

mi nilikuwa siandiki nikiogopa kukamatwa
 
unajiunga JF hata kazi hauna.

karib bana. ukiishiwa na hela ya cafe utatushtua.

mwenzio anangangana na jukwaa apateoa kupigia punyeto wale jamaa wa AFRIKA SANA walivyosikia umeme umepanda asilimia 18 wao wamepandisha 25% usishangae wengi wakakimblia humu kujimwagia vya bure
 
mwenzio anangangana na jukwaa apateoa kupigia punyeto wale jamaa wa AFRIKA SANA walivyosikia umeme umepanda asilimia 18 wao wamepandisha 25% usishangae wengi wakakimblia humu kujimwagia vya bure
Labda kuanzia February mwezi huu si unajuwa watu wanalipa kodi za nyumba,walitumia hela nyingi x-mas,shule wanawe ,jamaa wameniambia bei za huduma za usiku zimeshuka sana mwezi huu hahaha!
 
habarin yake AD na desidii kumbe mahommies

mmenifurahisha sana kwa mambo yetu ya barua

mi nilikuwa siandiki nikiogopa kukamatwa



mmmhh jamani Je unakaratasi na kalamu ( karatasi la daftari dogo)
na je una kalamu ile ya zambarau???( hakikisha kalamu umetafuna juu)
haya tuanza mambo . sasa hivi wala usiogope kabisaa
AD yuko hapa ajili yako hahahah lol...

 



mmmhh jamani Je unakaratasi na kalamu ( karatasi la daftari dogo)
na je una kalamu ile ya zambarau???( hakikisha kalamu umetafuna juu)
haya tuanza mambo . sasa hivi wala usiogope kabisaa
AD yuko hapa ajili yako hahahah lol...

Jamani muchumba naona umeshafika,ulilala salama ? uliota nini ? mi mzima dear.
 
Jamani muchumba naona umeshafika,ulilala salama ? uliota nini ? mi mzima dear.

mmmmhh mie ndo nimetoka kazini Dear...
mmmhh kazini hakuna cha kuota ni mawazo tu hahaha lol
vipi we waendeleaje ???
 
mmmmhh mie ndo nimetoka kazini Dear...
mmmhh kazini hakuna cha kuota ni mawazo tu hahaha lol
vipi we waendeleaje ???
Nikianza kusema naendeleaje zitakuwa kama barua za jana usiku lol! kama umetoka kazini basi utakuwa Asia muchumba sisi hapa Bongo bado tunapiga mzigo.
 
Nikianza kusema naendeleaje zitakuwa kama barua za jana usiku lol! kama umetoka kazini basi utakuwa Asia muchumba sisi hapa Bongo bado tunapiga mzigo.

hahahahah lol
hiyo ndo rahaa ya Bongo..
mmmhh huku kunywa ni ijumaa jioni au jumamosi..
au ule mdogo mdogo wa wine hahahah lol

mie nime miss sana hiyo ya Bongo hata lunch time unaweza
peleka Tusker yako ya baridiii
mmmmhh mnaraha kwa kweli hahahah lol
 
ooops...kumbe jamvi la utambulisho limehamia huku siku hizi. welkam andi haf a siti
 
hahahahah lol
hiyo ndo rahaa ya Bongo..
mmmhh huku kunywa ni ijumaa jioni au jumamosi..
au ule mdogo mdogo wa wine hahahah lol

mie nime miss sana hiyo ya Bongo hata lunch time unaweza
peleka Tusker yako ya baridiii
mmmmhh mnaraha kwa kweli hahahah lol
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.Halafu hii ya kutoongea na TF itatufurahisha wengi mimi,klorokwini and co. tumechoka kushika pembe lol!
 
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.

hahhahahhaha lol
mmhh kila mahali kuna raha yake na shida zake....
lakini Bongo tumejidekeza sana yaani..

mmhh safi lakini..
mnautumia vizuri ule usemi usemao "live like there is no tomorrow"hahaha lol
 
hahhahahhaha lol
mmhh kila mahali kuna raha yake na shida zake....
lakini Bongo tumejidekeza sana yaani..

mmhh safi lakini..
mnautumia vizuri ule usemi usemao "live like there is no tomorrow"hahaha lol
Nimei-edit ile post yangu hujaisoma.
 
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.Halafu hii ya kutoongea na TF itatufurahisha wengi mimi,klorokwini and co. tumechoka kushika pembe lol!

hahahahha lol
mmmhh jamani acheni basi hayo mambo...
mmmhh i vimatatizo tu ndani ya ndoa...
hakuna bigggg ahahahhaha lol
 
hahahahha lol
mmmhh jamani acheni basi hayo mambo...
mmmhh i vimatatizo tu ndani ya ndoa...
hakuna bigggg ahahahhaha lol

Hahaha! nimeshamstua na klorokwini sasa ni mashambilizi tu akirudi anakuta mwana si wake kuna misemo ya kiswahili 'ukisema wa nini wengine wanasema tutampata lini' , 'ukisusa wengine wala' .
 
Hahaha! nimeshamstua na klorokwini sasa ni mashambilizi tu akirudi anakuta mwana si wake kuna misemo ya kiswahili 'ukisema wa nini wengine wanasema tutampata lini' , 'ukisusa wengine wala' .

mmmhhhh jamani
nyie acheni hivyo basi jamani mmhh
haya ngoja nivue hilo gauni
naona linawazuzua sana hahahh lol
 
Back
Top Bottom