nasikitika kukuacha lakini kesho ni siku ya kazi,sweetdreams.hahahahahh lol
usijali nitaogelea bahari zote saba
na hata maziwa yote mpkana nipate chozi lako...
sijui ntaishi vipi bila wewe....
haya mwalimu anakuja ....
nta malizia kuandika baadaye kwenye kipindi cha dini.
sababu yule sister ni mpole....
kwa sasa kalamu imeanza kuisha wino..
na kesho ntanunua daftari kubwa..
yote kwa ajili yako...
hahahah lol
nasikitika kukuacha lakini kesho ni siku ya kazi,sweetdreams.
hahahahahh lol
usijali nitaogelea bahari zote saba
na hata maziwa yote mpkana nipate chozi lako...
sijui ntaishi vipi bila wewe....
haya mwalimu anakuja ....
nta malizia kuandika baadaye kwenye kipindi cha dini.
sababu yule sister ni mpole....
kwa sasa kalamu imeanza kuisha wino..
na kesho ntanunua daftari kubwa..
yote kwa ajili yako...
hahahah lol
unajiunga JF hata kazi hauna.
karib bana. ukiishiwa na hela ya cafe utatushtua.
unajiunga JF hata kazi hauna.
karib bana. ukiishiwa na hela ya cafe utatushtua.
Labda kuanzia February mwezi huu si unajuwa watu wanalipa kodi za nyumba,walitumia hela nyingi x-mas,shule wanawe ,jamaa wameniambia bei za huduma za usiku zimeshuka sana mwezi huu hahaha!mwenzio anangangana na jukwaa apateoa kupigia punyeto wale jamaa wa AFRIKA SANA walivyosikia umeme umepanda asilimia 18 wao wamepandisha 25% usishangae wengi wakakimblia humu kujimwagia vya bure
habarin yake AD na desidii kumbe mahommies
mmenifurahisha sana kwa mambo yetu ya barua
mi nilikuwa siandiki nikiogopa kukamatwa
Jamani muchumba naona umeshafika,ulilala salama ? uliota nini ? mi mzima dear.
mmmhh jamani Je unakaratasi na kalamu ( karatasi la daftari dogo)
na je una kalamu ile ya zambarau???( hakikisha kalamu umetafuna juu)
haya tuanza mambo . sasa hivi wala usiogope kabisaa
AD yuko hapa ajili yako hahahah lol...
Jamani muchumba naona umeshafika,ulilala salama ? uliota nini ? mi mzima dear.
Nikianza kusema naendeleaje zitakuwa kama barua za jana usiku lol! kama umetoka kazini basi utakuwa Asia muchumba sisi hapa Bongo bado tunapiga mzigo.mmmmhh mie ndo nimetoka kazini Dear...
mmmhh kazini hakuna cha kuota ni mawazo tu hahaha lol
vipi we waendeleaje ???
Nikianza kusema naendeleaje zitakuwa kama barua za jana usiku lol! kama umetoka kazini basi utakuwa Asia muchumba sisi hapa Bongo bado tunapiga mzigo.
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.Halafu hii ya kutoongea na TF itatufurahisha wengi mimi,klorokwini and co. tumechoka kushika pembe lol!hahahahah lol
hiyo ndo rahaa ya Bongo..
mmmhh huku kunywa ni ijumaa jioni au jumamosi..
au ule mdogo mdogo wa wine hahahah lol
mie nime miss sana hiyo ya Bongo hata lunch time unaweza
peleka Tusker yako ya baridiii
mmmmhh mnaraha kwa kweli hahahah lol
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.
Nimei-edit ile post yangu hujaisoma.hahhahahhaha lol
mmhh kila mahali kuna raha yake na shida zake....
lakini Bongo tumejidekeza sana yaani..
mmhh safi lakini..
mnautumia vizuri ule usemi usemao "live like there is no tomorrow"hahaha lol
hayo ndio mambo ya bongo watu tunakunywa kila siku halafu tunasema kwanini nchi haiendelei huku bar zinaanza kujaa mchana kweupe.Halafu hii ya kutoongea na TF itatufurahisha wengi mimi,klorokwini and co. tumechoka kushika pembe lol!
hahahahha lol
mmmhh jamani acheni basi hayo mambo...
mmmhh i vimatatizo tu ndani ya ndoa...
hakuna bigggg ahahahhaha lol
Hahaha! nimeshamstua na klorokwini sasa ni mashambilizi tu akirudi anakuta mwana si wake kuna misemo ya kiswahili 'ukisema wa nini wengine wanasema tutampata lini' , 'ukisusa wengine wala' .
Ukivua gauni si ndio itakuwa balaa kabisa we muchumba lol!mmmhhhh jamani
nyie acheni hivyo basi jamani mmhh
haya ngoja nivue hilo gauni
naona linawazuzua sana hahahh lol