Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hahaha,
Naunga mkono juhudi hizi kwa member mwingine atakayekuja kujitambulisha
Hahahahaahaa. Nimecheka sana[emoji16][emoji16][emoji16]watu wamekuwa na roho mbaya sana.
JF waweke tahadhali kabla ya kukubali kujoin kwamba mtu asitume details zake halisi.
Maana wengine hawajui maskini.
Hahahahaahaa. Nimecheka sana
Sasa na wao kabla ya kujiunga hawafanyi kautafiti kidogo huku tunaishije?Hii ni mara ya tatu nashughudia mtu anaingizwa kingi.
@Mod pls futeni hii thread.
Sasa na wao kabla ya kujiunga hawafanyi kautafiti kidogo huku tunaishije?
Sema bado ana nafasi ya kufuta picha zakeWengi hawajui wanadhani hii ni kama facebook, hawajui kama hii ni forum. Harafu hii inatokana na kutopata uzoefu. Yaani hawajatembelea mara kwa mara kuelewa maisha ya huku yakoje. Mtu kaingia tu mara moja mbili then katengeneza account.
Sema bado ana nafasi ya kufuta picha zake
Sema bado ana nafasi ya kufuta picha zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono juhudi hizi kwa member mwingine atakayekuja kujitambulisha
Lakini walikua wanajua wanachokifanya. Huyu wajanja wamemuwahiIla sio tatizo sana mbona wengi tu wanatumia details zao halis.
Muacheni mgeni jamaniTumeshazisave kwa matumizi ya mbeleni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nami nijitambukishe.
Bado wewe tunasubiri utambulisho wako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya haraka mods wameanza kusinzia