Kumbe ni dactari?[emoji848]Muache daktar akarimu wageni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwaga nyau ww usintishe[emoji848]
Waislam na Wasukuma wana mamboDuuu Jf hii wewe jamaa konki sana
Status ipi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mbibi nasubiri status ujue...
Kule kule kwa jana mbibiStatus ipi
Hahaha hahaha hahahaSasa mzalendo kama huyu kwa nini asipokelewe kwa nderemo, vifijo na vigelegele....
Achana na mimiKule kule kwa jana mbibi
I love you crazy mbibi wangu....Achana na mimi
viranja wanaonea au sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah
[emoji23][emoji23][emoji23]Leo naangalia ID mpya inayoanzia na sha.. Lazima itakuwa yake tu. Akiwa mzoefu wagen watamkoma.
wewe ndio yule msenegali aliyetaka kutuulia kipa wetu manula eehh...diata
Wanaonea sanaa[emoji16]viranja wanaonea au sio
Sanchez anakusalimu kisura.Hongera kwa kujifunza sasa badili id njoo na ingine
Hahahahaaaaaaaa Sanchez umemisiwa unajua hilo?Sanchez anakusalimu kisura.
popote ulipo salamu zake zikufikie.na uzipokee
wanja ulivo kupe ndezesha sasa ume damshi si kitoto wacha uwe kisura tu.
Leo shughuli za kupanga tanuri kwa ajili ya kuchoma mkaa zilikuwa nyingi.Hahahahaaaaaaaa Sanchez umemisiwa unajua hilo?
Nashukuru kama unajua na mimi sasa jioni itaenda vizuri[emoji5]Leo shughuli za kupanga tanuri kwa ajili ya kuchoma mkaa zilikuwa nyingi.
Hahaha nalijua ilo ila hunishindi Mimi kisura.
sasa ntafanya kazi vizuri.