Hi

We jamaa ni matako kweli unatumaje detail zako huku. Had lipicha lako
Mamaamama eeeeeee!
Aya kabadili chap sasa ushamba ushakuisha
Kanasa kakutana na makonk ya jf yamemtia ujinga ila Mungu anawaona aiseeee mwenzenu alitaka afake life[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila dogo anatakiwa apew verified user mapema sana Mana kajitoa kwa moyo wote bila woga hataki kuish kitumwa na mashaka mengi

Hongera zake kwa moyo huo sana dogo usiwe na wasi huku Ni salama tu hakuna tabu kabisa usijione mnyonge kwa maneno ya humu.

Kukosea ndio kujifunza kuwa na amani nitakutumia pesa kidogo ya vocha.tunahtaji JAMII FORUM kama hii ya kuweka picha na details zako zote bila woga kabisa
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…