Hi

Sabrina , wacha hayo mambo ya kutuma vipicha picha , ujue hii sio fb
Watu humu wanatumia fake id , utakuja kulizwa shauri yako

Humu kuna kila aina ya wanyama wakali wanaowinda

Simba , chui , hata ma jaguar wanapatikana humu so kua makini na akina

Gu dume
Zero IQ
Amerikan ninja ,

Hao jamaa ni zaid ya fisi
 
OK nimekupata
 
Hakuna sheria inayozuia mtu kuweka utambulisho wake Au picha

Kama wewe ni muhalifu usmfundishe bibie uoga
 
Acha kutuharibia mkuu, mambo gani hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…