Hi

Hi

Hahaha, hapa ndio mtu wenye ID fake anaenda chaka akidhani huyu mgeni ni OG kwenye ID na picha, kumbe ni fake pia.
 
Ewaaa! Hii ndo tunayotaka sasa wageni mnaoingia igeni mfano huu!

Dada mrembo sana, kumbe warembo wapo humu wengi!

Kama hali iko hivi mwezi ujao nitaleta tangazo humu!
 
Mtego huo nani ananaswa kiulaini hivyo?
Badili mbinu musiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmmmmh boa roho inasita, yupo atafutwae hapa
 
Back
Top Bottom