Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Katika watu waliowahi kuvunja rekodi ya kuomba ukaribisho JF wewe umekua namba moja ....na picha ukaweka karibu sana sabrinaHodi humu ndani jamanView attachment 1149675
HahahahaMmmh mamy hahahahaha
Hapana mkuuUmeshamtimbia pm? Huyu naona kidogo kazingatia masharti
Sasa na wewe kweli taarifa zako zinaweza kufuatiliwa na serikali? haaaaa haaaLeta e-mail yako Au number ya simu ticomfirm usajili wako
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sabrina , wacha hayo mambo ya kutuma vipicha picha , ujue hii sio fb
Watu humu wanatumia fake id , utakuja kulizwa shauri yako
Humu kuna kila aina ya wanyama wakali wanaowinda
Simba , chui , hata ma jaguar wanapatikana humu so kua makini na akina
Gu dume
Zero IQ
Amerikan ninja ,
Hao jamaa ni zaid ya fisi
Taarfa ganiSasa na wewe kweli taarifa zako zinaweza kufuatiliwa na serikali? haaaaa haaa
Kama kuna mtu ana ushujaa kama huyu dada afanye kama anajikuna.....!
Unataka mtoto wa watu achakazwe??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3]Hakuna sheria inayozuia mtu kuweka utambulisho wake Au picha
Kama wewe ni muhalifu usmfundishe bibie uoga
Mkuu una malengo gani na huyu dada..?Anakutania tu huyo
Aliyekudanganya utume hii picha yako humu amekuuzaHodi humu ndani jamanView attachment 1149675
HahaaaaKuna mtu anawindwa apa, sasa hiv utasikia
Nafwaaaaa,,,....!!!!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mtego huo nani ananaswa kiulaini hivyo?
Badili mbinu musiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ni-PM nirukie huko mgeni.Hodi humu ndani jamanView attachment 1149675
We jamaa utakuwa mchawi uzeeni.Sabrina , wacha hayo mambo ya kutuma vipicha picha , ujue hii sio fb
Watu humu wanatumia fake id , utakuja kulizwa shauri yako
Humu kuna kila aina ya wanyama wakali wanaowinda
Simba , chui , hata ma jaguar wanapatikana humu so kua makini na akina
Gu dume
Zero IQ
Amerikan ninja ,
Hao jamaa ni zaid ya fisi