Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana JF, ila huku ulipoingia ni chumbani
Karibu sana JF, ila huku ulipoingia ni chumbani
asante sana mkuu wangu.Karibu
Karibu sana kijana! Huku uje na mojaa tu, ukija na mengi utapotea!
Mengi kama yapi na moja ni lipi? si unajua nisije vunja mila na tamaduni, inawa mi kiana ni muda mrefu nipo sema kupost sasa ndio ilikuwa ishu, ila nakukubali sana mada zako I wish one day nikuone live, kikawaida tu. usogope.
Hahahaaaa! Thanks for the compliment! Ila ukitaka kudumu huku jiepushe sana na sisi watu wenye damu za kunguni! Ukiona mambo from my point of view hakawii kutupiwa virago!
Hahahaaaa! Thanks for the compliment! Ila ukitaka kudumu huku jiepushe sana na sisi watu wenye damu za kunguni! Ukiona mambo from my point of view hakawii kutupiwa virago!
Karibu sana JF, ila huku ulipoingia ni chumbani
Hilo nalo neno ingawa ingawa mkuu, jua kuwa mkubwa hatishiwi nyau, ila penzi labda.Acha kumtisha kijana ww, mkaribishe kwa moyo safiiiii!
Hilo nalo neno ingawa ingawa mkuu, jua kuwa mkubwa hatishiwi nyau, ila penzi labda.
Mlango wa pazia wa chooni tu ndo haugongwi hodi!
wadau,magwiji na wanazuoni wa pande mbalimbali,mdau nmeamua kuingia ndani bcoz kwa muda mrefu nmekua sio memember ni msomaji tu.
god be with u all!
Karibu waVISA,
Na wa MIKASA umemuacha wapi?