hi

hi

Hii nayo kazi. Labda itafika mahali ikubalike kama ilivyo kwa upande wa saa. Saa 5:00, utaambiwa ni saa kumi na moja.!!! Na 12 ni 6!.
 
Kaka vipi salama, naona lugha imebadilika (xana)!!

Ha ha ha aaah!! Kaka Globu typing error, si unajua hawa vijana wametuharibia lugha yetu, nami nilipitiwa kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Hii nayo kazi. Labda itafika mahali ikubalike kama ilivyo kwa upande wa saa. Saa 5:00, utaambiwa ni saa kumi na moja.!!! Na 12 ni 6!.

Haitakubalika......ingawa kuna changamoto kubwa sana kuwarudisha watu katika uandishi sahihi.
 
Haitakubalika......ingawa kuna changamoto kubwa sana kuwarudisha watu katika uandishi sahihi.

Ni kweli, na mimi nitaipiga vita kadiri ya uwezo wangu. Pamoja sana by AshaDii.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, na mimi nitaipiga vita kadiri ya uwezo wangu. Pamoja sana by AshaDii.

Hahahaa..naona mkuu umeamua kuwa kifimbo cheza. Na hii sio kiswahili tuu. Hata English nyingine tata kabisa. Mfano: Dis aint r8 @ ol.
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaah!!! Kaka umewahi kumsikia Mzindakaya akiongea ung'eng'e...??

Mimi sijawahi. Ila tungejivunia kiswahili chetu na kukifanyia kazi, mbona tungekuwa mbali sana. Wachina wenyewe wengi hawana mpango na ung'eng'e lakini wapo mbali vibaya mno
 
Mimi sijawahi. Ila tungejivunia kiswahili chetu na kukifanyia kazi, mbona tungekuwa mbali sana. Wachina wenyewe wengi hawana mpango na ung'eng'e lakini wapo mbali vibaya mno

kweli kabisa mkubwa inabidi tukinadi kiswahili chetu, huu ulimbukeni wa kuiona lugha ya malkia ni bora kuliko kiswahili inatakiwa ipigwe vita kwa nguvu zote...
 
kweli kabisa mkubwa inabidi tukinadi kiswahili chetu, huu ulimbukeni wa kuiona lugha ya malkia ni bora kuliko kiswahili inatakiwa ipigwe vita kwa nguvu zote...

Kiongozi umesema sawa kabisa. Taifa hili limejaa maajabu. Unafaulu hujui kusoma wala kuandika, ukiongea kingereza unaonekana wa maana na umesoma.

Jamaa fulan alienda uingereza, kurudi akasema "wenzetu wameendelea sana. Yaani watoto wadogo kabisa wanaongea kingereza fasaha". Asijue kule ndio kwao na ndio lugha yao.
 
Kiongozi umesema sawa kabisa. Taifa hili limejaa maajabu. Unafaulu hujui kusoma wala kuandika, ukiongea kingereza unaonekana wa maana na umesoma.

Jamaa fulan alienda uingereza, kurudi akasema "wenzetu wameendelea sana. Yaani watoto wadogo kabisa wanaongea kingereza fasaha". Asijue kule ndio kwao na ndio lugha yao.

Ha ha ha haaah!!! Hapo kwenye bluu ni kiboko.
 
Back
Top Bottom