HI!!!

HI!!!

mzee wa noti

New Member
Joined
Mar 3, 2010
Posts
4
Reaction score
0
oya washikaji wa baraza la jamii mambo vipi? nami nimo ktk baraza naomba mnipe sturi ili tuweze kushirikiana ktk kutoa maoni mbalimbali kwa ajiri ya faida ya nchi yetu naamini sturi nimepata poooooooooooooa
 
Karibu manoti, mradi yasiwe ya Zimbabwe!
Kijiwe wapi jioni???
cheusi mangala lol....mmmh....hiyo ndo namba 6 au 8
 
cheyo style karibu sana umekuja kutujaza manoti eeh?
 
karibu kwa taratibu....
na some decency pia,
wapo watu wazima humu,na sio washikaji wa vijiweni.......
 
Karibu sana mkuu,tena kwa mikono miwili. Leo kuna uji wa ulezi sijui unatumia? Karibu......!!!
 
Back
Top Bottom