elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
- Thread starter
-
- #41
Kama upo Dsm kwa nini tuandikie mate, njoo uione nitafuteUshaipeleka "Body" mara ngapi
Ushaifanyia "Overhaul" mara ngapi?
Ina Vibali vyote valid (Maparo, Road Licence, SUMATRA, Bima)??
Sio kuandikia mate,Kama upo Dsm kwa nini tuandikie mate, njoo uione nitafute
Poa nakujibu pm mkuuSio kuandikia mate,
Huoni kama nikikutafuta nikiwa na hizi information tayari itakua nimetuia uda wangu vizuri kuliko kukutafuta halafu sijui chochote kuhusu hiyo gari??
We jibu tu hapa,
Ushaipeleka "Body" mara ngapi??
Ushaifanyia "Overhaul" mara ngapi?
Ina Vibali vyote valid (Maparo, Road Licence, SUMATRA, Bima)??
Unaijua bei ya coaster mkuu au yule jamaa wa coaster 2 ndo kakuinfluence? Usicheze na bei ya coasterNi kweli mkuu, hiyo bei ni sawa kabisa ingawa sielewi kwanini Toyota hiace zina bei kuliko Coaster au Isuzu journey bus.
Hayo maswali ukiyajibu humu yatakuwa ya msaada kwako kuliko kum-pm. Utapm wangapi sasa maana kila serious buyer atakuuliza hayo maswaliPoa nakujibu pm mkuu
Kwa sisi wanunuaji wa hizo gari kuukuu. Hiyo bei uliyoweka kwa gari namba B ni nyingi sana atleast ungeweka six or seven milioni ningekuelewa.Ipo katika hali ya kulizisha inafanya kazi, ni kwa bei ya 12M Tegeta - Dsm, ni pm tuzungumze na kubadirishana mawasiliano View attachment 446318View attachment 446319View attachment 446320View attachment 446321View attachment 446322View attachment 446323
Aina ya engine ni CC 2500 petrol 2RZ, imeshatembea km 125,300
Sawa mkuu hoja yako nimeiweka mezani tayariKwa sisi wanunuaji wa hizo gari kuukuu. Hiyo bei uliyoweka kwa gari namba B ni nyingi sana atleast ungeweka six or seven milioni ningekuelewa.
Hiyo gari hapo inaonyesha ilikuwa inabeba abiria. Kwa namba B inaonyesha ina 8 to 9 years Tanzania. Kwa bei ya siku ya Hiace tangu miaka ile ni 40,000. Hivyo hiyo gari tayari imeshaingiza 40,000 kwa siku mara 30 kwa mwezi mara 96 (miaka nane) ni sawa na kama 115,200,000/=.
Punguza bei mkuu mimi nipo interested ila kwa Six to Seven Millions.
Usitegemee atalegeza zaidi atakaza mara 100 zaidkwa usawa huu mmhhhh!!! ngojea kwanza