Hichi kidude nimekikuta chooni sijui matumizi yake

Hichi kidude nimekikuta chooni sijui matumizi yake

Uzi una picha

Naombeni mnieleweshe matumizi ya hiki kidude, nimekikuta kimepigwa bolt ukutani ndani chooni ila sijajua ni cha nini. Asanteni

ONYO :kama hukijui usikomenti chochote View attachment 2256288View attachment 2256289
Ni nyumbani kwako au kwa ndugu yako? Kijijini umetoka lini? Duh, kweli maisha tunapishana sana! Yaani hujawahi kukiona? Hizi simu zinatufanya tuonekane tuko level moja kumbe kuna ma-gap ya hatari!!
 
Wengine hutumia magazijuto kuelekea mechi ambayo fundi hakuweka vizuri pima maji mengi yalikua yakipita juu ya vidonda vya tumbo mbuzi yule hakula majani jeshini baada ya bei ya nondo kupanda mwalimu akashauri tutumie daftari la mistari midogo ili kukabiliana na utelezi wakati wa kuotesha nyaya za umeme kwenye uwanja wa farasi.
 
Back
Top Bottom