SI KWELI Hichilema anafadhili ujenzi wa jengo la ACT Wazalendo

SI KWELI Hichilema anafadhili ujenzi wa jengo la ACT Wazalendo

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
<div class="bbWrapper"></div>
 
Tunachokijua
JamiiForums imefanya mawasiliano na Zitto Zuberi Kabwe, amekubali kuhusu kuwepo kwa mchakato wa kulikamilisha jengo hilo.

Aidha kwa upande mwingine Zitto amekanusha madai ya kwamba ujenzi wa jengo hilo unafadhiliwa na kiongozi wa nchi jirani. Amesisitiza kuwa ni habari ya kupuuzwa.
Back
Top Bottom