- Source #1
- View Source #1
<div class="bbWrapper"></div>
- Tunachokijua
- JamiiForums imefanya mawasiliano na Zitto Zuberi Kabwe, amekubali kuhusu kuwepo kwa mchakato wa kulikamilisha jengo hilo.
Aidha kwa upande mwingine Zitto amekanusha madai ya kwamba ujenzi wa jengo hilo unafadhiliwa na kiongozi wa nchi jirani. Amesisitiza kuwa ni habari ya kupuuzwa.