Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

othuman dan fodio

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
6,850
Reaction score
11,033
Kama mnavyojua mwisho wa mwaka huu mambo ni mengi sn sasa jn baada ya kutoka kwenye event fulani hapa mjini huku nikiwa nimepiga mtungi wa kutosha, nikiwa njiani narudi home nikakutana na pisi nikaona isiwe tabu ngoja nirushe ndoana.

Mungu sio othman dan fodio % fulani ile ndoana haikutoka patupu baada ya story mbili tatu tukabadilishana mawasiliano tukaagana kwa kupeana mihadi kwamba nimtafute japo mlume nilitaka kuruka nae siku hiyohiyo kwakuwa ninaukame wa kama miezi 2 hv sijapiga pusy ukichanganya na mtungi nikajisemea lolote liwalo leo lazima nyani afie mtini.

Basi baada ya kufika home nikiwa sina hili wala lile nimejilaza ikaingia sms kwa sim yangu huku namba ikiwa ni ngeni ' helow' kwakuwa namba ni mpya na kwa mwandiko ule nilijua tu huu sio wa kiume ni wa kike sikufanya ajizi nikaenda hewani kupokea kumbe ni ile pisi ambayo tulipeana namba hapo awali.

Story mbili tatu akafunguka baada ya kumpeleleza anajishughulisha na nn ohh kaka unajua kwa sasa ajira ni ngumu tangu nimalize chuo sijapata ajira ila kwa sasa najishughulisha na kuuza fruits (mchanganyiko wa matunda mbalimbali) kisha wanaweka kwenye package na kuzungusha mtaani.

Baada ya story story nikajisemea huyu si tulishaagana mbona sms usiku tena? Nukamjaribu vp unaweza kuja nilipo nikupe loacation akajifanya kuvunga ooh sasa hv muda umeenda au labda uje wewe nikasema sio kesi nipe location akatuma nikachukua boda nikafika eneo la yy alipo. Nilisubiri kama dk 5 hv nikaona mtoto anakuja upande nilipo tuache masihara j kaumbika nyie, mtoto rangi ya kiarabu, mrefu kidogo na nyash kama yote huku akiwa amepiga kipensi fulani hiv na sweta la pinky akaja mpaka nilipo nilijua ni huyu basi nikamvutia gizani na kumkumbatia hakukuwa na upinzani sn ispokuwa ni yale mashauzi madogo madogo ya watoto wa kike wale wa sitaki nataka.

Sikutaka tena kuweka usiku kile kitendo cha kumuhag tu ile pisi mnara wa babeli ulisoma nyuzi 90 kama nilivyosema ni muda kidogo sijapiga pusy, kidume nikafunguka vp umekula ooh sijala basi tukaenda hadi wanapouza mazaga nikamwambia aagize , ***** hv vitoto vya elf2000 havijui kuvunga kwenye kula, kikaagiza chipi yai na kidari cha kuku na pepsi ya baridi wkt anaandaa nikamuga kidogo nikatoka kuitafuta pharmacy faster nikachukua pact 1 na pp kifua najua wajuzi mnajua.

Nikarudi.chap nikakuta kila kitu tayari nikamlipa yule muuza chips hela yake hao mdogomdogo hadi home kwangu kwakuwa huko njiani tulishakubaliana afike home, kwanza asingekataa ni pisi gani inaweza kutaa ikiwa tayari kiepe yai kidari na soda vimeshanunuliwa? hakuna nasema hakuna, kufika home nikamtengea sahani akanawa akaanza kula huku nikimlia timing akimaliza tu sicheleweshi nakula mzigo.

Ile pisi huku ikiwa inakula kiaina fulani na kwa jicho langu la tatu ka simu kake kalikuwa bize kidogo sms za hapa na pale na kupigiwa mara kwa mara nikakjua tu huyu anasumbuliwa na ka boi frend kake lkn nikasema leo simuachi ameshakula vya wanaume haachwi huyu, baada ya.kushiba na kushukuru kakawa kananiaga kanataka kuondoka nikamwambia leo tunalala wote na ukizingatia muda umeenda sn hivyo leo siku inaishia hapa hapa,

Si kakaanza kutoa sababu ohh tumekutana leo tu na leo leo tufanye haiwezekani mara ohh hatuwezi kuaminiana kwa siku moja halafu nina boy frend wang sijui akijua itakuaje, nikaona huyu msenge ss anataka kuzingua mbona chips kala bila kusubiri tujuane zaidi ila mzigo ndio anata kuleta hadithi ,nikamwambia j embu sogea karibu nami akasogea lkn akasisitiza naomba tusifanye nika keep lowprofile kama bwege vile taratibu akajaa kwenye kifua kipana. Piga sn mate imo, toa sweta lake la pink akabaki na zile brazia zao za kike sikutaka kuifungua yote nikalitoa ziwa kwa juu mlume nikaanza kuseleleka nalo binafsi alinipa ushirikiano wakutosha sasa wkt naelekea hatua za mwisho za kumzamisha nyoka pangoni j alitoka kwanguvu na kuniomba plz plz maomba tusifanye ila nakuahidi siku nyingine nitakupa hadi ufurahi alisema ,oya hii hali isikukute tu kinyonge nikakubali kutupa taulo kwakuwa bila ridhaa hayanogi japo 89% tulikuwa tumeitumia basi akaomba nimsindikize nikaona sio issue nikamtoa njiani akaniambia ooh samahani sn najua nimekukwaza ila niliogopa kukwambia mwenzio leo simba yupo uwanjani ss niliogopa kutia aibu ugenini si unajua simba inafungwa sn ugenini nikamwambia asijali kwakuwa alinipromise kunileta mzigo niupige sa sijui alikuwa mkweli au alidanganya au aliogopa maana.kuna muda kule ndani wkt wa purukushani aligusa muhogo alistuka kidogo na kuniuliza mbona kubwa sn hii, sasa sijui kama ni kweli simba wamecheza au.kaogopa muhogo.

All in all j najua utarudi tu kwakuwa umeshaingia kwenye mfumo wng ila jiandae hiyo chips yai kidari na.soda utavilipia tu na utachakaa kinyama na huzi ndom sizitumii zinakusubili wewe.

Mwisho
 
Unatmbwa Kwa chips mayai na soda
Unalipia chips za watu hazizidi elfu tano unaondoka na gono na hepatitis mixer pangusa!
HAyo magonjwa yapo karne na karne na yatakuja mengine mengi tu lkn kisiwe chanzo cha watu washindwe kuoelekeana moto, usicheze na mbususu we dada, huyo uliyenaye unajuaje kama hayo magonjwa anayo au hana?
 
Ndiyo vijana wanaompigia kelele kila siku mzee palamagamba kabudi eti apumzike kazeeeka .
Sasa amwachie Nani kiti na Hawa ndiyo vijana wa mjini wenye degree zao za muziki
Kabudi apumzike tu umri ushakuwa mkubwa lkn papuchi bado tutazisakama tu kwa maana zipo kwa ajili ya wanaume hasa wanaume shababi si mrendamrenda
 
Sasa ndo utumie chips yai kama kigezo Cha kupata mbususu ..eti utailipa tu..ndo Nini sasa?
We abigai sio kwamba mdogo ako alikuwa hataki kupigwa mashine ndio maana nimekwambia 89% nilishamfanya kila kitu kwa maana yq upper part yake yote nilikuwa nimeshaichezea na ushirikiano alitoa sasa wkt nakuja kwenye lower part namtoa nyoka ili azame shimoni ndio akatema ndoano so kiepe pekee hakikuwa kigezo hata yeye alielewa shoo
 
Back
Top Bottom