Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

Wee n dole la mkundu! yaan umeshndwa kuzamisha mashine ndani sasa s ufe tu et nmepga mate dah 😭😭😭 wee malaika wazamu amesha andka hyo tarehe ya uzembe uliyo fanya subr ufe ukajibu mashtaka yanayo kukabili
 
Sawa.labda alikuelewa akihitaji tendo kwako.aliridgia lakini Kuna baadhi ya vitu vilimrudisha nyuma.
But usitaje chakula kama malipo,unaonekana una roho ya kimaskini kudemand penzi kisa chakula.
Huyo dada labda alikua kwenye siku mbaya Ukute harakati za mtoto wa kike zimekwama akajikuta Hana jinsi.utajuaje.
 
Abigail unielewe basi naona umeshikilia msimamo wako wa umasikini kama karata yako ya kuni undermine kwenye huu uzi.

Ndio mmana nimesema baada ya kuchoropoka kutoka kifuani nikiwa ktk hatua za mwishoza kumchinja kobe siku mforce nilimuacha huru kwakuwa na mm nilihisi kama ww kwamba labda alikuwa kwenye p.

Lkn abigail huyo mwenzako siku akiingia kwenye mfumo akirudi na kukusimulia lazima utaomba namba au utataka siku nyingine mje wote, maana nitamfuhisha, ni fimbo tu na kiepe changu kitakuwa hakijaenda bure
 
Nakazia humo chips yai lazima ilipiwe mwana mlumendago no free lunch nowadays ..
Hebu tuambie basi pipi kifua ilikuwa na kazi gani acha kuleta masihara kwenye hakuna masihara.
Hahaha mlume pamoja sn kwa kuniunga mkono achana na mshamba hachekwi na yule choko anajiita chief gudlove wanaodai eti ni umasikini pisi kupigwa mjeredi baada ya kula kiepe ya changu.

Mkuu ni kweli hujui kazi ya pipi kifua?. Hahahaaa
 
Stop mentioning kiepe bwana...mambo ya kawaida hayo..kama roho inakuuma kesho utaweza kuwa na mke unamlisha na kumtunza Kila siku?
Mi napatwaga Kwa upendo.siko cheap Wala siwewsekei dudu namana hiyo kaka
 
Aisee kweli kimekuuuumaa ila nikikupa yanguu mwakajana tu utachokaaaa

Nilipenda kabinti kamoja pale mbezi beach akipiga nataka chips imo nikifika napiganmzigonnaanza kachaga

Baadae nkaambiwa KUNA kajamaa kanakujaga nkauliza akagomaaa

Sikuhio nkapigiwaa anataka chips na mbuzi Sina helà...nikamwambia labda mishikaki akasema ok nikamwambia nakuja BAADA ya masaa mawili

Nkachelewa lisaa limoja nakuta.mlango umefungwa kwanjee..mmh itaa kimya mpangaji jirani MMOJA akaniambia kuna mtu Yuko nae ndani

Mdada nilikuwa nalipa chumba mm na mwenye nyumban ananijua mm

Mmha nkachukua kijiti nkasogeza nkakuta jamaa yukokiunoni

Nkangalia kitasa na kimudu nkaenda Kuita washikaji WA jirani nkabetua kitasaa kijana akaruka fasta Toka kitandani tukamwambia tuliaaaa

Akaulizwa umeshakojoaaaadoo akasema Badoo jamaa akampa kofii Rudi ukakojoe mwanamke analia nisamee nisamee tumefunga mlango
Kimyakimyaa

Kijana qkapewa Kofi la pili qkapigwa fimbo akanza kulia tukamfunika mdomo sauti isitoke piga sana

Jamaa.mmoja akataka kufanya ushetan nikamwambia hapana msimfanyiee.

.nkawasha gesii nkaweka kisuu ikapata nikasema huyu ana pikpik Nje nkamuunguza VILIVYO miguuni

Akalia sanaaa eakaendelea pigwa makofi...nikamwambia Binti vaanguo zakoo paki nguo zakoo anaomba sorry

Akapewa makofi akapaki nguo akanza

kuangalia pembeni nakuta sahani mbili Moja Ina mbuzii mifupaannyingine chips kidogoo aisee nikasema kwahio alipoona Nina chips mishikaki Sina mbuzi alizotaka akaamuaa kupiga simu WA mbuzi

Kijana alikaa njee analia...nkatoa vitu vya Binti...vyotee nkabadili kofuli nkaanza..

Be strong hao ndio Wana
WA wake nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…