Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

Bila picha ya hizo chips ☺️😊
 
Ukila chips ya mtu pia ukubali kupigwa mjeledi we vp hakuna chabure siku hz
Yaani chipsi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tafuta hela mkuu hiyo chipsi sisi wengine tunanunua kama 50 usiku tunawagawia wale watoto wanaolala mabarazani huko. Kila mtoto anapata chipsi yai yake na juice.
Sasa wewe chipsi moja inakutoa roho🤣🤣🤣
 
Hiyo utajuwa wewe na ukiweza nunua hadi ulishe watanzania wote lkn j kipondo kipo pale pale lazima nimchakaze kiepe hakiendi bure kwa pisi
 
Hiyo utajuwa wewe na ukiweza nunua hadi ulishe watanzania wote lkn j kipondo kipo pale pale lazima nimchakaze kiepe hakiendi bure kwa pisi
Kwenye kumfanya alipe hiyo kiepe yai lazima utatumia gharama zaidi. Mkikutana tena lazima ununue Chips yai na kuku mzima na savannah
 
Ungemwambia alishikeshike Gobole Na Umwagie Mkononi Mwake,, Hii Ya Siku Nyingine Akitokea Wa Namna Hiyo Wa Kubana Mbususu.
 
mtoto aliona muhogo sio size yake akajiongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…