Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

Unataka mwanaume atumie tsh ngapi kwa mwanamke, ndo a demand ngono kama exchange Sister Abigail
ISS
Unataka mwanaume atumie tsh ngapi kwa mwanamke, ndo a demand ngono kama exchange Sister Abigail
Je ni sawa kutumia kitu ulichompa mwanamke kama bargaining chip..kupata ngono kutoka kwake?
Hujawahi msaidia mwanamke maishani mwako?je kama wapo wote uliwahi kuwaomba wakurudishie Kwa ngono kama malipo?
 
Mbona kubwa sana hii😃😃😃😃😃
Kakudanganya vzr sana
 
Mkuu unastori ndefu.
Nimepitia mwanzo, dhumuni na wisho wa barua. Sahivi watu tunataka tuone, ungeweka video. 😄 Jokes!

Ila nimeisomasoma, cha msingi usiikirimie zinaa. Zinaa inadeni! 😀

Ukiona huo mpango umedunda, amekula chips na hujamkula, ujue malaika kakuokoa.
 
Mw
Mwamba umeshapigwa na ilo lidemu halirudi tena kwako na bahati yako ndio ungeondoka na UTI na Gono sugu.
 
Hahaha tusiangalie gharama mkuu angalia mazingira ambayo aliniacha nayo, mchezo ulikuwa unaelekea mwishoni nile mzgo pisi ikatema ndoano
MBunge bwege wewe ungemaliza shoo siku hiyo hiyo asipokuja je.ungempiga romance vizuri angepanua goli upige hat trick tatizo hujui unamlamba maziwa mtoto wa watu kama chatu anataka meza mbuzi
 
Duh madogo wana tabu sana na hizi chips yai wacha nimtumie dogo hela huko chuo kabla hajakutana na mafisi kama wewe
 
Nanukuu… “Ni pisi gani inaweza kukataa ikiwa kiepe yai, kidari na pepsi vimeshanunuliwa” Mwisho wa kunukuu.

Ni kweli hakuna pisi inaweza kukataa hapo, hata bure pisi zinakubali sembuse mazaga yote hayo?
 
Unaunguza mtu kisa 🙄 kweli anguko la mwanaume liko uchini
 
Nanukuu… “Ni pisi gani inaweza kukataa ikiwa kiepe yai, kidari na pepsi vimeshanunuliwa” Mwisho wa kunukuu.

Ni kweli hakuna pisi inaweza kukataa hapo, hata bure pisi zinakubali sembuse mazaga yote hayo?
Labda sio chips vumbi tunazojua sisi ukute ni kidali bata mzinga pia 🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…