Hicho Kiepe Yai na Pepsi baridi ipo siku utakilipia tu

Kwahiyo mkuu sisi tukiona chipsi yai, kidari na soda huwa hatuwezi kukataa sio? Ni mwendo wa mateka hadi magetoni . Nimelia sana🥲
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umefanya kitendo cha hatari sana Mkuu kumfuata huyo manzi. Siku nyingine usifanye huo ujinga, umeuza sana uhai wako kiongozi.
 
S
Mbona kubwa sana hii😃😃😃😃😃
Kakudanganya vzr sana
sasa j.pili mdogo enu ndio anakuja kutimiza ahadi yake kama alidanganya au vp itafahamika, na condom atavalisha mwenyewe
 
Kwani we evilsprit ulitakaje, yani ali tu kiepe halafu asepe, no big no haiwezekani lazima alipie tu
Haya maisha bana mtu kwa soda baridi na chips zake anataka kumuingizia mtoto wa mwenzake dude lake
 
MBunge bwege wewe ungemaliza shoo siku hiyo hiyo asipokuja je.ungempiga romance vizuri angepanua goli upige hat trick tatizo hujui unamlamba maziwa mtoto wa watu kama chatu anataka meza mbuzi
Hamna mkuu wala usinione bwege, mtoto aliruka kama nyani kutoka kwenye kifua kipana huku aki excuse kwamba tusifanye ulitaka ni mforce?

Binafsi huwa naenjoy niki sex na girl ambaye 100% anakuwa willing to do so, hata hivyo usijali yo majestry j anakuja jpili kuchezea fimbo, so relax kaa kwa kutulia na mrejesho nitauweka humu.
 
Chai
 
Ukiweka mrejesho ntaamini vipi may be mrejesho wako upate ka escort ka video kama batazari
 
Mmefunga shule, hizi vurugu zitaisha january.
 
Kuna mambo mengine jamii ikishakuwa na elimu ya kutosha kujua mbivu na mbichi, unaachia tu yafuate mkondo wake.

Ukitaka kuhuzunika kwa kila matatizo ya jamii, utashindwa kuishi maisha yako.
Mi yananisikitisha tu.sio Kwa mtu aliepevuka Bali Kwa watoto.kuna kipindi watoto wa shule walikua wanapewa mimba sana kisa chips..nliwaza sijapata jibu.

Huyu jamaa mwenye Uzi ndo kanikumbusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…