High Quality Honey available

High Quality Honey available

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
i476_SanjaraProductsRangePriceList2009.jpg


Interested customers:

We are ready to deliver at their doors especially for those in Dar, Mwanza and Arusha. The minimum order for "Door-to-Door" delivery is one box (12 jars)
 
Interested customers:

We are ready to deliver at their doors especially for those in Dar, Mwanza and Arusha. The minimum order for "Door-to-Door" delivery is one box (12 jars)

Hongera sana mjasiriamali, Nimefurahishwa sana na product na ubunifu wenu. Nitakutafuneni, for a door delivery. keep it up!
 
what is the retail price?
IS YOUR HONEY AVAILABLE IN SHOPS???
I LIKE YOUR PACKAGING.....
 
Welldone on packaging wakuu!


Kuna wezi wa nembo/trademarks ile mbaya,nawapongeza sana kwa kazi nzuri. Kuweni makini na udhibiti wa nembo msije mkaishia kuuza asali ya wenzenu.
 
Welldone on packaging wakuu!

Sanjara: Hizi chupa zina uzito kiasi gani? Isijekuwa uzito wa chupa tupu ni sawa na asali yenyewe! Kuna tofauti yoyote kati ya asali ndani ya chupa yenye mfuniko wa blue na mwekundu? Mojawapo yaonekana kama nyeusi zaidi?

Kwa wanaoijua asali; hizi zinazouzwa mtaani mfano ujazo wa lita 1, ikikaribia kuisha inakuwa imeganda, hii ni sehemu ya asali au inakuwa ni kitu gani? Au ndo Made in China?
 
Sanjara: Hizi chupa zina uzito kiasi gani? Isijekuwa uzito wa chupa tupu ni sawa na asali yenyewe! Kuna tofauti yoyote kati ya asali ndani ya chupa yenye mfuniko wa blue na mwekundu? Mojawapo yaonekana kama nyeusi zaidi?

Kwa wanaoijua asali; hizi zinazouzwa mtaani mfano ujazo wa lita 1, ikikaribia kuisha inakuwa imeganda, hii ni sehemu ya asali au inakuwa ni kitu gani? Au ndo Made in China?

honey ikikaa mda inakuwa crystallise, quality yake haibadiliki
kama unataka kuirudisha kati hali yake ya kawaida, iweke chupa kwenye sufuria ya maji vuguvugu (ninamaani kuipasha moto)

ni jambo la kawaida kwa asali kubadilika
 
Hongera sana mjasiriamali, Nimefurahishwa sana na product na ubunifu wenu. Nitakutafuneni, for a door delivery. keep it up!

Rwabugiri,

Asante sana kwa maneno ya kutia moyo. Tumefurahi kusikia kwamba utatutafuta. Tunaomba hilo liwe jukumu letu kupitia "Door-to-Door" campaign. Unaweza kutuelekeza unapatikana wapi, nasi tutaitika wito.

Muhimu:
Salesman wetu hawaruhusiwi kujua undani wa mteja. Kazi yao na malengo ya Sanjara ni moja tu, kuuza bidhaa bora za chakula.
 
what is the retail price?
IS YOUR HONEY AVAILABLE IN SHOPS???
I LIKE YOUR PACKAGING.....

Dear semilong,

We thank you for appreciating our package as well as the product.



The indicated prices above are normally for wholesale and bulky buyers. However, as July-August is our promotion season, we have decided to give you a unit at the same price. It is up to you, to integrate us forward and make more money than Ndalambwe or consume and become healthier.


Our product is available in some of the supermarkets in Dar such as Shrijee, PATCO, KITCO and some of the mini supermarkets at Petrol Stations. We are finalising some procedures with TFDA to sign a contract with Shoprite (Kamata, Mlimani City and Arusha). Soon you will find our brand in Shoprite's shelves.


Semilong, if you are getting trouble to locate where to buy Sanjara Honey try our “Door-to-Door” delivery. Just send us your request through:


sanjarahoneytz@gmail.com


Remember one thing, when you buy from the shop, the price might be higher to that indicated by Tshs 700-900. This is to cover their operation cost plus profit margin.
 
Kuna wezi wa nembo/trademarks ile mbaya,nawapongeza sana kwa kazi nzuri. Kuweni makini na udhibiti wa nembo msije mkaishia kuuza asali ya wenzenu.

Asante sana.
Tumejidhatiti kutofuata njia ya kitamaduni ya kutafuta fimbo baada ya kuumwa na nyoka. Tuko makini lakini hasa katika kuwapa walaji vyakula bora na salama kwa afya zao.
 
Sanjara: Hizi chupa zina uzito kiasi gani? Isijekuwa uzito wa chupa tupu ni sawa na asali yenyewe! Kuna tofauti yoyote kati ya asali ndani ya chupa yenye mfuniko wa blue na mwekundu? Mojawapo yaonekana kama nyeusi zaidi?

Kwa wanaoijua asali; hizi zinazouzwa mtaani mfano ujazo wa lita 1, ikikaribia kuisha inakuwa imeganda, hii ni sehemu ya asali au inakuwa ni kitu gani? Au ndo Made in China?

Nameless-,

Hizi chupa hazichangii hata 3gm ya ujazo. Na tumezingatia Sheria ya Vifangashio na Lebo ya TFDA pamoja na zile Directives za TBS. Kwa kila chupa tumeweka ujazo wa ziada kama gramm tano.

Kuna tofauti kati ya asali ndani ya chupa yenye mfuniko wa blue na ile iliyo na mfuniko mwekundu. Mfuniko wa blue ni asali ya maua ya Miombo (ndiyo maana ni nyeusi) wakati ile ya mfuniko mwekundi ni Wild flowers (M'n'gamana) ndiyo maana ni nyeupe. Hizi ni Branding technics za kawaida ili mteja aweze kutofautisha kiurahisi kama ulivyong'amua haraka.

Asali
ya M'n'gamana kama alivyosema semilong inawahi kuganda. Unaruhusiwa kuuliza zaidi.
 
hongereni Sanjara,
vipi mmeshafikiri kuwa na website yenu.....ili kuitangaza product yenu kila kona ya dunia hii ya leo.......
 
Well done! just as a suggestion to your promotion season try parking your open market at some hospital gates eg PASADA, MNH also some congregations that have a lot of members with high consumption of Honey for medicinal use. I used to see retailers of honey bringing it to my church at WAPO Mission - just an idea,
 
Ndugu unge anzisha thread ya hii kitu.

Mkuu hata mimi sikuelewa kabisa alikusudia nini. Niliona tu kama vile maji na mafuta yanalazimishwa kukaa kwenye chupa moja!!
 
Last edited:
Nameless-,

Hizi chupa hazichangii hata 3gm ya ujazo. Na tumezingatia Sheria ya Vifangashio na Lebo ya TFDA pamoja na zile Directives za TBS. Kwa kila chupa tumeweka ujazo wa ziada kama gramm tano.

Kuna tofauti kati ya asali ndani ya chupa yenye mfuniko wa blue na ile iliyo na mfuniko mwekundu. Mfuniko wa blue ni asali ya maua ya Miombo (ndiyo maana ni nyeusi) wakati ile ya mfuniko mwekundi ni Wild flowers (M'n'gamana) ndiyo maana ni nyeupe. Hizi ni Branding technics za kawaida ili mteja aweze kutofautisha kiurahisi kama ulivyong'amua haraka.

Asali
ya M'n'gamana kama alivyosema semilong inawahi kuganda. Unaruhusiwa kuuliza zaidi.

Mkuu SH,

Safi sana kwa kuchukua hatua na kufanya jambo la maana namna hii. Siku zote nawaheshimu watu wanaofanya mambo yakaonekan na siyo kulalamika au kuwa na njozi za kusadikika. Nafagilia sana ujasiri na ubunifu wako, na nitakuwa mmoja wapo wa wateja wa bidhaa zako. Ombi langu kwako ni kuwa mjitahidi kutuuzia asali na siyo kanyabwoya ya Karikakoo/Kongo kwani watanzania tumezoea sana kila kitu kufanyika ki-Bongo Darisalam! Kila la heri na kaza buti!
 
Dear semilong,


sanjarahoneytz@gmail.com


Remember one thing, when you buy from the shop, the price might be higher to that indicated by Tshs 700-900. This is to cover their operation cost plus profit margin.

I will remember, but other customers will be confused....
Agree with them the retail price na uhakikishe bei ya kwenye lebo ndio hiyo inayouzwa au usiweke bei kwenye lebo ya bei kabisa waacha wenye maduka waweke sticker zao za bei...
haya ni mawazo tu SH....
keep it up
 
hongereni Sanjara,
vipi mmeshafikiri kuwa na website yenu.....ili kuitangaza product yenu kila kona ya dunia hii ya leo.......

Ndiyo tumefikiri hilo suala. Tunajadili na nguli wa E-commerce websites kutoka Jamii Media Inc ili tukifikia muafaka watutengenezee tuweze kufanya online transactions.
 
I will remember, but other customers will be confused....
Agree with them the retail price na uhakikishe bei ya kwenye lebo ndio hiyo inayouzwa au usiweke bei kwenye lebo ya bei kabisa waacha wenye maduka waweke sticker zao za bei...
haya ni mawazo tu SH....
keep it up

Noted and Thanx.
 
Mkuu SH,

Safi sana kwa kuchukua hatua na kufanya jambo la maana namna hii. Siku zote nawaheshimu watu wanaofanya mambo yakaonekan na siyo kulalamika au kuwa na njozi za kusadikika. Nafagilia sana ujasiri na ubunifu wako, na nitakuwa mmoja wapo wa wateja wa bidhaa zako. Ombi langu kwako ni kuwa mjitahidi kutuuzia asali na siyo kanyabwoya ya Karikakoo/Kongo kwani watanzania tumezoea sana kila kitu kufanyika ki-Bongo Darisalam! Kila la heri na kaza buti!


Dark City,
Naweza kukupa contacts za watu waliokwisha tumia bidhaa zetu toka tuna anza na wamekuwa Royal customers kila mara wanafanya repeat purchases toka kwetu ili wakuthibitishie kuwa tunachokisema na tunachokiandika kwenye lebo ndicho kilichomo ndani. Hii ni asali halisi kabisa kabisa.
 
Back
Top Bottom